Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
- Thread starter
- #61
ndo maana yake. JK awewapa wamalawi Ziwa Nyasa
Nyie hamijui CCM. Kikwete anagombea na nani?
Makamu wenyeviti wanagombea ni wepi hao!,l
Mtashangaa atachaguliwa kwa 99%.
MaCCM yote akili zao zimefanana.......wait and see.
Na wakishamaliza kufanya hayo maigizo yao watacheza muziki na kujaribu kugandana.
Nyie hamijui CCM. Kikwete anagombea na nani?
Makamu wenyeviti wanagombea ni wepi hao!,l
Mtashangaa atachaguliwa kwa 99%.
MaCCM yote akili zao zimefanana.......wait and see.
Na wakishamaliza kufanya hayo maigizo yao watacheza muziki na kujaribu kugandana.
Nyie hamijui CCM. Kikwete anagombea na nani?
Makamu wenyeviti wanagombea ni wepi hao!,l
Mtashangaa atachaguliwa kwa 99%.
MaCCM yote akili zao zimefanana.......wait and see.
Na wakishamaliza kufanya hayo maigizo yao watacheza muziki na kujaribu kugandana.
Baada ya kutoa matamshi ya ajabu kwa kiongozi wa Malawi kwamba Tanzania haimiliki ziwa nyasa, nadhani ni vyema rais kikwete kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye. Hawezi tena kuiongoza nchi. Ni hatari kwa taifa na kama tutashindwa wana CCM, basi janga litaikumba chama chetu 2015
.........Mods Tafadhali Msiondoe.......
hizi ndio agenda za mkutano mkuu wa CCM?
Baada ya kutoa matamshi ya ajabu kwa kiongozi wa Malawi kwamba Tanzania haimiliki ziwa nyasa, nadhani ni vyema rais Kikwete kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye. Hawezi tena kuiongoza nchi. Ni hatari kwa taifa na kama tutashindwa wana CCM, basi janga litaikumba chama chetu 2015
.........Mods Tafadhali Msiondoe.......
Baada ya kutoa matamshi ya ajabu kwa kiongozi wa Malawi kwamba Tanzania haimiliki ziwa nyasa, nadhani ni vyema rais Kikwete kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye. Hawezi tena kuiongoza nchi. Ni hatari kwa taifa na kama tutashindwa wana CCM, basi janga litaikumba chama chetu 2015
.........Mods Tafadhali Msiondoe.......
MaCCM akili zao zipo sawa; yote sawa na Kambale tu.......baba, mama, watoto na babu na bibi wote wana sharubu, na wote wanaishi kwenye matope.acha kujifunza kuropoka mkuu,unaheshimika sana hapa jf
acha kujifunza kuropoka mkuu,unaheshimika sana hapa jf
Nyie hamijui CCM. Kikwete anagombea na nani?
Makamu wenyeviti wanagombea ni wepi hao!,l
Mtashangaa atachaguliwa kwa 99%.
MaCCM yote akili zao zimefanana.......wait and see.
Na wakishamaliza kufanya hayo maigizo yao watacheza muziki na kujaribu kugandana.