Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Baada ya kutoa matamshi ya ajabu kwa kiongozi wa Malawi kwamba Tanzania haimiliki ziwa nyasa, nadhani ni vyema rais Kikwete kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye. Hawezi tena kuiongoza nchi. Ni hatari kwa taifa na kama tutashindwa wana CCM, basi janga litaikumba chama chetu 2015
.........Mods Tafadhali Msiondoe.......
.........Mods Tafadhali Msiondoe.......