Vote for your best avatar in JF!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

NewDawnTz

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
1,667
362
I cast my vote to this one....................


avatar27424_2.jpg


Kumbukumbu zangu zinanikumbusha jamaa anaitwa Kauzu!!!!!!!!!!!!

Sababu: Avatar yake na ID yake 100% zinaendana. Amepatia choice ya Avatar

 

If given a chance to vote for a second best, this one will take my vote


avatar6153_6.jpeg

Anaitwa Rev. Masanilo.

Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF
 
Anaitwa Rev. Masanilo.

Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->


Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
 
Anaitwa Rev. Masanilo.

Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->


Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!


Hahaaaa, Ema, nakubaliana na wewe. Lakini unajua nini, Mchungaji mtata sana, kumuelewa inabidi ukae chini utulie kama mara mbili tatu hivi!!!!!!!!!!!! Japo mapungufu yapo kwa kila mmoja
 
Anaitwa Rev. Masanilo.

Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->


Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!

Haters will never see the kingdom of Heaven.
 
Haters will never see the kingdom of Heaven.


Haha aahaha Rev. Masa bana.

Umenikumbusha jamaa yangu mmoja anapenda kusema "It is easy for a one week baby girl to bear a child than haters to see the Kingdom of God"

Okay, thanks Rev.
 
Anaitwa Rev. Masanilo.

Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->


Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!

bila shaka atakuwa kwenye list ya juu ya wanaoongoza kukaa lupango ya JF
 
Mkuu Ndiba, hebu tuletee tumuone Preta, alafu tuambie kwa nini unadhani ni funika bovu??????

Mkuu nadhani umeiona hiyo hapo juu.
Shemeji yako mtarajiwa(Preta) ameshaiweka.
Nkiiangaliaga hiyo avatar huwa natamani kama niiguse hivi.
 
avatar32910_1.gif


Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick
 
Yangu definitely ha ha msichakachue hadi kura yangu mwenyewe jamani
 
avatar32910_1.gif


Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick

right, hata mimi hii nikiiona pamoja na comments zake zinanichekesha sana
 
avatar32910_1.gif


Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick


Duu!!!!!!! Aisee huyu namkubali, na moja kwa moja anaingia kwenye list. Jamaaa kakamatia mpini mbaya
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom