Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa Rev. Masanilo.
Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->
Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
Anaitwa Rev. Masanilo.
Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->
Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
Anaitwa Rev. Masanilo.
Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->
Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
Mkuu Ndiba, hebu tuletee tumuone Preta, alafu tuambie kwa nini unadhani ni funika bovu??????
unamaanisha hii...........View attachment 18595
Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick
Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick