Sikushauri zina matatizo ya drive shafts. Spare ni south au ulaya
nilinunua Vw polo since 2011 hadi leo natumia ni gari imara sana na very comfortable na kama unapenda mbio ndo zenyewe na zinatulia sana barabara unaweza kata kina hata na 120 haziharibiki hovyo ila ikiharibika kama hela zako ni za mawazo unaweza imba haleluya kuu hamna spare ya bei rahisi spare zake ni ghali ila siku hizi zipo kibao tu zinapatikana sio issue tenathanks kiongozi nimekusoma....nazani kabla sijaagiza niuonganishe na huyo mwarabu nichonge nae kwanza.....ili nijue kama zinapatikana.....kikubwa nataka ziwe zinapatikana swala la gharama baadae sana!...mossadooo7