MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 701
- 629
Vodacom yasitisha huduma ya Luku, Halotel kujiunga leoNiona tangazo kuwa vodacom wamesitisha huduma ya kununua umeme kwa njia ya mpesa mpaka watakapo afikiana na serikali juu ya utaratibu mpya.
Mwenye taarifa kamili naomba aje atujuze ili tuelewe