NIGGA
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 1,239
- 639
Habari Wakuu
To be honest nimeshtushwa kidogo na hizi taarifa, Nikiichunguza vodacom in and out napata shida huwa wanaangalia creteria zipi hawa ATE mpaka kuipa kampuni tuzo ya employer of the year,maana ukiangalia vodacom staff wa Customer Care pale Mlimani city wanavyolipwa vilaki viwili,Njaa,stress au kuna siasa hapa.
Nawakilisha.
source. Vodacom yaibuka mwajiri bora mwaka 2013 Bongo5
To be honest nimeshtushwa kidogo na hizi taarifa, Nikiichunguza vodacom in and out napata shida huwa wanaangalia creteria zipi hawa ATE mpaka kuipa kampuni tuzo ya employer of the year,maana ukiangalia vodacom staff wa Customer Care pale Mlimani city wanavyolipwa vilaki viwili,Njaa,stress au kuna siasa hapa.
Nawakilisha.
source. Vodacom yaibuka mwajiri bora mwaka 2013 Bongo5