Vodacom wanjanja night offer speed yake vipi

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,606
10,654
Wadau hivi hii offer wana limit speed au full kujiachia bila kikomo?
 
ndiyo, tena kama upo sehemu ambayo inayo 3G ndo inakuwa kasi ya ukweli. iko poa sana
 
nilipokua mwanza, usiku m1 nashusha minimum 8GB, nmeingia Dar 2 kwishney hata Gig1 nahangaika.
 
Mkuu are you spy?

Hamna kitu kama hiyo mkuu
Nina modem ya Airtel haichakachuliki sasa nataka kuhamia voda hivyo nilitaka kujua kama naweza shusha movie kama gb 1 hivi kwa usiku mmoja au speed ndio kichefuchefu.......siunajua tena vitu vya dezo dezo restrictions kibao
 
Hamna kitu kama hiyo mkuu
Nina modem ya Airtel haichakachuliki sasa nataka kuhamia voda hivyo nilitaka kujua kama naweza shusha movie kama gb 1 hivi kwa usiku mmoja au speed ndio kichefuchefu.......siunajua tena vitu vya dezo dezo restrictions kibao

Ipo ila speed inategemaea mahali na mahali. Mahali nilipo net sio stable,unaweza kukuta leo speed iko poa,kesho mwendo wa kobe.Lakini pia haiwezi kuconnect zaidi ya masaa matatu bila kudiconnect. So wale tunaosinzia na kuacha kitu kinapakuwa,hapo ndio wameweka checkpoint. Ila kuanzia saa kumi alfajiri hadi saa moja asubuhi inakuwa burudani sana,unapata max speed.
 
Nimenunua line mbili za voda, (huwa siitumii, nina Zantel na tiGO)
line moja ni ya wajanja night, na nyingine nimeweka buku kumi unlimited.

Jana nilikuwa ninaupload youtube, kuanzia saa nne, size ilikuwa 1.2GB, ikaja kumalizia kwenye saa moja kasoro.
Nadhani si mbaya, download unaweza kumaliza in an hour or two kulingana na size na eneo ulilopo.

Situmii modem, ila nina Navigator 6110, na A-town 3G inanisoma, so nimeigeuza modem na line yangu ya tiGO nimeweka kwenye ka-samsung ka zamani hivi, hata mlio hakatoi.

Kama una simu 3G poa, hata modem huhitaji kivile, unless otherwise.
 
Ipo poa ila ckuizi ukiiamkia kwenye saa nane nane ivi speed inaeza fika mpaka 7mbps.....ila uku mapema utaboreka tuu
 
kama wakuu walivyosema hapo juu, inadepend na sehemu uliyopo. nipo maeneo ya chuo hapa Dsm, sometimes inazingua ila siku nzuri hata 6GB nitashusha. huwa inadisconnect sana kabla ya saa saba ila baada ya hapo, huwa naachia torrent nakula zangu usingizi. cheki speed za jana usiku

34iisza.jpg


301dmpj.jpg
 
Endangered, uploads za GB kaa.. unafanyia nn?

teh teh, mkuu jana nilikuwa na wanakwaya, sasa ikabidi ni-upload baada ya kuhangaika nao siku nzima, file moja tu hilo la dk 7. Nilijaribu nione itakuwaje, since imekubali, The PC is expecting more from the owner. Uploading kwa sana, nimeishiwa vitu vya ku-download.

data.JPG

Nimeanza kutumia Mobile Partner ku-monitor activity, from yesterday ndo hiyo hapo inaonyesha monthly, december hii nilipoianzia.
 
nilipokua mwanza, usiku m1 nashusha minimum 8GB, nmeingia Dar 2 kwishney hata Gig1 nahangaika.

ebhana pole sana mkuu!! jamaa wamegeiza na kuwa sharing ile mida ya kuanza mtu kibao but night kali mambo yanakua super
 
mim android yangu baada ya kuiroot inakamata H kila maali ...so speed inacheza hadi 500kb/s...yan modem ya voda nishatupa ...huwa nawoch movies online ...vodacom kazi ni kwako!!
 
Back
Top Bottom