TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,417
Kila nikiingia kwenye menyu ya Vodacom bado kuna usanii wameufanya yani wamecheza na akili zetu.
Hawakurudisha vifurushi vyao kama ilivyo mwanzo je, ingekua agizo kutoka kwa JPM wangeendelea kutufanyia kiburi
Hapa ndio naona umuhimu wakua na Rais m'babee JMP legacy yako itaendelea kuishii.
Sikuwahi kukuandika JMP kwamazuli ila kwenye hili la Vodacom acha nikukumbuke. Mama Samia anakosa ile Spirit yakuongea jambo nawahusika kuingia mchecheto.
Cc. vodacom mnatawa kutulipa 5% kila mteja alienunua bundle kipindi mlichopewa akizo mshushe bei, tutawaburuza mahakamani.
Hawakurudisha vifurushi vyao kama ilivyo mwanzo je, ingekua agizo kutoka kwa JPM wangeendelea kutufanyia kiburi
Hapa ndio naona umuhimu wakua na Rais m'babee JMP legacy yako itaendelea kuishii.
Sikuwahi kukuandika JMP kwamazuli ila kwenye hili la Vodacom acha nikukumbuke. Mama Samia anakosa ile Spirit yakuongea jambo nawahusika kuingia mchecheto.
Cc. vodacom mnatawa kutulipa 5% kila mteja alienunua bundle kipindi mlichopewa akizo mshushe bei, tutawaburuza mahakamani.