Vodacom wameniibia

Ndetirima

JF-Expert Member
Oct 4, 2011
1,008
784
Jana mchana nineingiza salio kwenye simu yangu line ya Vodacom TZS 1,000/= baada ya saa moja nikatumiwa ujumbe wa simu kuwa nimeingizwa kwenye bahati nasibu ya TZS 11,000,000/= na wakakata TZS 550/= toka kwenye salio langu ili hali sijatuma ujumbe wowote wa kuhitaji kucheza bahati nasibu yao hiyo. Jamani huo si wizi? Iliniuma sana.
 
Jamani kila siku tupige kelele tu ebu hamieni huku kwetu mbona mambo mazuri tu...hamia airtel wewe ndugu jamaa na marafiki...
 
jana mchana nineingiza salio kwenye simu yangu line ya vodacom tzs 1,000/= baada ya saa moja nikatumiwa ujumbe wa simu kuwa nimeingizwa kwenye bahati nasibu ya tzs 11,000,000/= na wakakata tzs 550/= toka kwenye salio langu ili hali sijatuma ujumbe wowote wa kuhitaji kucheza bahati nasibu yao hiyo. Jamani huo si wizi? Iliniuma sana.

hata mimi walishanifanyia hivyo na walishaniibia takribani 30,000/=.nilipowapigia mara ya kwanza wakaniambia andikaneno ''ondoa" nikafanya vile na nikajibiwa hutakaa upate tena sms za promotion ya voda.
Kesho yake nikaweka 5000/= nikatwa tena then nikawajia juu wale staff wa customer care.ndiyo mmoja wao akaniambia nipunguze jazba ila tuma neno 'toka' kwenda 15544, nikafanya vile,nikajibiwa tangu leo umeondolewa kwenye promotion ya voda 11million.so since then sijawahi kukatwa tena.
chakufanya tuma neno "toka" kwa herufi kubwa kwenda namba 15544.
 
Back
Top Bottom