VodaCom wamebadili jina kuwa tritel?

Hii siyo kweli kwani Mobitel (now Tigo) walikuja Tanzania kabla ya hao Tritel. Tritel walikuja baadaye na ndo wa kwanza kuja na simu aina ya GSM na kuongeza ushindani kwa Mobitel kwani kipindi hicho Mobitel walikuwa wanalipisha hata kupokea simu maana walikuwa peke yao kwenye soko la simu za mikononi. Baadaye Tritel wakafilisika na kufungasha virango vyao.

mkuu kama sijakosea walichukuliwa na CELTEL ya kwanza yenye rangi nyeupe na nembo ya KIMNARA wakitumia kauli mbiu TUONGEE!.......mjini shule!
 
Hii siyo kweli kwani Mobitel (now Tigo) walikuja Tanzania kabla ya hao Tritel. Tritel walikuja baadaye na ndo wa kwanza kuja na simu aina ya GSM na kuongeza ushindani kwa Mobitel kwani kipindi hicho Mobitel walikuwa wanalipisha hata kupokea simu maana walikuwa peke yao kwenye soko la simu za mikononi. Baadaye Tritel wakafilisika na kufungasha virango vyao.

wewe mobitel ndio walimnunua yule mhaya wa tritel..
 
voda imekuwa vodafone kwa sababu hisa zaidi ya 75 per\nt ni mali ya vodafone uingereza ila wanafanya mabadiriko kimachale sana.nembo wamebadiri.rangi nayo mmh.bado jina liwe VODAFONE wameanza na vodafone mpesa.
 
Nimekuwa nikitumia simu yangu kwa wiki sasa ikiwa na line ya voda, cha kushangaza ni kuwa kuna muda jina la TRITEL linatokea katika display ya simu yangu na baadae inapotea, awali nilifikiri ni mwingilianao wa mawasiliano, kwani kuna mtu alishaleta thread hapa jf akilalamikia jambo kama hilo, majibu aliyopewa kuwa ni simu yake anayotumia ni ya kichina huku wengine wakidai huenda simu yake ni mbovu, sasa sijajua kwa mimi ninayetumia nokia ya finland. pia nimetumia modem yangu ya vodafone nayo ainaandika hivyo hivyo TRITEL. wadau wenye taarifa sahihi tujuzeni katika hili kama tayari hii kampuni ya vodacom imeuzwa kwa Tritel amabao zamani walikuwepo wakawauzia mitambo yao Mobitel to Buzz to Tigo.Je TRITEL wamerudi tena?
 
Kichwa cha bahari na maelezo yako havipatani kabisa!
Kuandika kichwa cha habari cha namna hiyo angalau unatakiwa kuwa serious kidogo!
sasa mkuu unataka niwe serious kiasi gani? mpaka ninapoandika andiko hili natumia modem ya voda na kwenye dash board network imeandika Tritel(T)LtD GPRS, je unataka kuniambia ni network error au ni kitu gani,na jiulize ni miaka mingapi imepita tangu tritel waondoke nchini? hii logo ya tritel imetoka wapi leo hii 2011? je voda wameamua tu kutumia hili jina pasipo sababu? mimi niko mkoani sijui kwa walio dar labda hizi changes za network name bado hazijawafikia, but mimi naandika kile ninachikiona.
 
Usikute ishauzwa mana hawakawii kuuziana kimachinga hao
mkuu hii kiyu nina wasiwasi nayo kweli, najaribu kufanya printing sceen ya laptop yangu hapa inanigomea, ningrweka photo hapa members waone, manake kuna watu wengine ni wabishi sana humu,na mi si wa kwanza kuleta kitu kama hiki hapa.
 
Nimekuwa nikitumia simu yangu kwa wiki sasa ikiwa na line ya voda, cha kushangaza ni kuwa kuna muda jina la TRITEL linatokea katika display ya simu yangu na baadae inapotea, awali nilifikiri ni mwingilianao wa mawasiliano, kwani kuna mtu alishaleta thread hapa jf akilalamikia jambo kama hilo, majibu aliyopewa kuwa ni simu yake anayotumia ni ya kichina huku wengine wakidai huenda simu yake ni mbovu, sasa sijajua kwa mimi ninayetumia nokia ya finland. pia nimetumia modem yangu ya vodafone nayo ainaandika hivyo hivyo TRITEL. wadau wenye taarifa sahihi tujuzeni katika hili kama tayari hii kampuni ya vodacom imeuzwa kwa Tritel amabao zamani walikuwepo wakawauzia mitambo yao Mobitel to Buzz to Tigo.Je TRITEL wamerudi tena?

KWA MUJIBU WA MAELEZO ULIYAYATOA NA MASWALI ULIYOOULIZA NADHANI TITLE SAHIHI ILIKUWA NI:- vodacom imeuzwa?
 
nimem miss njiwa wa tritel
duh mkuu umenikumbusha mbali sanaaa kipindi nikitoka pond kule pugu likizo na fungus zangu. kulikuwa na bango lao kubwa saaana pale uwanja wa ndege likiwa na picha ya njiwa na mnara ule maarufu wa paris.enzi simu iliyokuwa juu ni nokia ringo.
 
Back
Top Bottom