VODACOM wameanza kunyooka

Raia Mtata

JF-Expert Member
Feb 4, 2017
315
591
Habarini wanajamvi,

Leo nimeamka vema sana hasa baada ya kupata ujumbe kwa njia ya simu ukiniambia nikitia buku napata GB1 kwa siku 3 da, taratibu wanaanza kuongea lugha yetu, tuzidi kukaza hadi watuuzie GB1 kwa buku wiki nzima.

Haikuishia hapo nafungua wasafi nakutana na news vodacom wamejitoa kudhamini ligi kuu ya Tanzania, sababu zao kubwa wanasema asilimia kubwa ya wateja wao wamefutiwa usajili wa line zao kwahiyo mapato yamepungua very silly reason si waseme tu watu wameacha kununua mabando, kwahiyo mapato yamepungua. Tuendelee kuwanyoosha hadi wote warudi njia kuu.

Kwa sasa hivi hamna wa kunitoa Zantel, 1500 napata dakika 160, sms 500 na 1.5 GB wao wakae na data zao ila lazima wataisoma na uchumi huu wa Covid-19.
 
Habarini wanajamvi,

Leo nimeamka vema sana hasa baada ya kupata ujumbe kwa njia ya simu ukiniambia nikitia buku napata GB1 kwa siku 3 da, taratibu wanaanza kuongea lugha yetu, tuzidi kukaza hadi watuuzie GB1 kwa buku wiki nzima.

Haikuishia hapo nafungua wasafi nakutana na news vodacom wamejitoa kudhamini ligi kuu ya Tanzania, sababu zao kubwa wanasema asilimia kubwa ya wateja wao wamefutiwa usajili wa line zao kwahiyo mapato yamepungua very silly reason si waseme tu watu wameacha kununua mabando, kwahiyo mapato yamepungua. Tuendelee kuwanyoosha hadi wote warudi njia kuu.

Kwa sasa hivi hamna wa kunitoa Zantel, 1500 napata dakika 160, sms 500 na 1.5 GB wao wakae na data zao ila lazima wataisoma na uchumi huu wa Covid-19.
YAKWAKO TU!
 
Screenshot_2021-06-08-18-46-05-990_com.android.phone.jpg


Voda nawatumia kwa Mpesa tu.
 
Habarini wanajamvi,

Leo nimeamka vema sana hasa baada ya kupata ujumbe kwa njia ya simu ukiniambia nikitia buku napata GB1 kwa siku 3 da, taratibu wanaanza kuongea lugha yetu, tuzidi kukaza hadi watuuzie GB1 kwa buku wiki nzima.

Haikuishia hapo nafungua wasafi nakutana na news vodacom wamejitoa kudhamini ligi kuu ya Tanzania, sababu zao kubwa wanasema asilimia kubwa ya wateja wao wamefutiwa usajili wa line zao kwahiyo mapato yamepungua very silly reason si waseme tu watu wameacha kununua mabando, kwahiyo mapato yamepungua. Tuendelee kuwanyoosha hadi wote warudi njia kuu.

Kwa sasa hivi hamna wa kunitoa Zantel, 1500 napata dakika 160, sms 500 na 1.5 GB wao wakae na data zao ila lazima wataisoma na uchumi huu wa Covid-19.
Mbona hata voda 1500 unazipata hizo GB
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom