Raia Mtata
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 315
- 592
- Thread starter
- #61
Mimi mbona nimepata special namba kwa buku tu, nenda pale mikocheni hukosi. Maana bado zantel haina wateja wengi, ukijaribu namba yako utakuta haina mtu jaribu kwa 0779Zantel wangekua na special no ningehamia huko