VODACOM wajue, kupoteza mteja mmoja ni kupoteza mapato ya wateja 100. The true cost of losing one customer

Unakimbia vodacom unaenda wapi?
80% ya internet back borne ya nchi iko powered na vodacom!
Tunawaangalia tu mnavyovuka mto mara kwa kufuata mkumbo
Je ukipigiwa simu au kutumiwa sms na bosi au ndugu au rafiki mwenye line ya voda utaacha kupokea?
Vodacom ni kama maji ya kunywa

wacha upotoshaji, bora ungesema TTCL ningekuelewa, hawan kitu zaidi ya back borne yao wenyewe walio tengeneza.
 
Kudukua mtu kila nchi inafuatilia mienendo ya watu ila kiistarabu na kutunza faragha za mtu.Tatizo mm naona hao wanaopewa hizo taaarifa si waastaarabu maana ndo wanashindwa kuheshim utu wa mtu na kuzisambaza mitandaoni hapo voda mm naona hawana kosa .
 
Mpaka muda huu natumia mtandao wa Joti kwa kupiga na data pia
 
#VodacomBlackSaturday

Ni tarehe 3/08/2019 kususia Mtandao wa voda, kwa wenye laini ya Voda msipige wala msipokee namba ya Voda, hata internet siku hiyo hatutatumia.

Lengo ni kuonesha kutoridhishwa kuvujishw na kuingiliwa kwa matumizi mteja.

Say NO to @VodacomTanzania https://t.co/z6MVTJSWBi
 
Bado voda watakua na uwezo kukudukua kupitia hiyo simu ya mteja wao abaye ni ndugu yako
Tatizo mna uelewa finyu wa IT,waziri kamwelwe kasema hata ubadili line au utumie watsapp,ujue upo uchi tu!
Suala la Voda kupata hasara linabaki pale pale, kinachozungumzwa hapa si usahihi wa maamuzi ya kuhama line ya voda kwenda mitandao mingine ili usidukuliwe no.

Mada hapa ni gharama ama hasara za Voda kupoteza wateja. Achana na mambo ya IT hapa kwa mtu aliye business oriented ataelewa.
 
Mimi naomba kuelekezwa namna ya kuchukua hiyo nyongeza ya songesha tu
 
Siungi mkono voda kutoa taarifa za watu binafsi ila pia ninahama vodacom kwa sababu ya kushindwa kumudu gharama za bando. Gharama za voda zimekua juu sana kwa sisi watumiaji wa uhakika. Na wale wasio watumiaji wa uhakika gharama kwao ni nafuu. Sijui hii elimu ilisomewa wapi kuwa mteja mzuri mpandishie bei, mteja mbovu mshushie bei.
 
Siungi mkono voda kutoa taarifa za watu binafsi ila pia ninahama vodacom kwa sababu ya kushindwa kumudu gharama za bando. Gharama za voda zimekua juu sana kwa sisi watumiaji wa uhakika. Na wale wasio watumiaji wa uhakika gharama kwao ni nafuu. Sijui hii elimu ilisomewa wapi kuwa mteja mzuri mpandishie bei, mteja mbovu mshushie bei.
Mm mwenyewe nahama voda maana bando limekuwa ghali sana nahamia Hallotel nasubiria lililopo liishe yaani sinunui tena maana hela zangu zitaishia kwenye bando kila siku 3000,acha nivuane nao mashart kwa amani
 
Mimi ninachojua Voda walidukua laini ya Ben Saanane baadaye wakaigawa kwa mtu mwingine katikati ya uchunguzi, Voda walidukua SMS za Lema wakaziweka public na juzi Voda hao hao wamemzimia Erick network ili watekaji wafanikiwe kumteka.
Kumbe voda ni ya chichiema lazima watudukue
 
Unakimbia vodacom unaenda wapi?
80% ya internet back borne ya nchi iko powered na vodacom!
Tunawaangalia tu mnavyovuka mto mara kwa kufuata mkumbo
Je ukipigiwa simu au kutumiwa sms na bosi au ndugu au rafiki mwenye line ya voda utaacha kupokea?
Vodacom ni kama maji ya kunywa

Sidhani Kama unachoongea ni sahihi, internet provider hadi sasa ni TTCl na Zantel tu, mitandao yote inanunua bundle za internet kutoka kampuni hizo
Sasa hapo sijui umemaanisha nini kusema 80% ya internet backbone ya nchi iko powered na Vodacom.
 
Wafanyakazi wa Tigo Tanzania Kokubelwa Karashani (35), Khalfani Milao (29) na Godfrey Magoye (30) wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka matano likiwemo kuingilia miamala ya fedha za wateja na kutakatisha fedha. 1/2 #KwanzaHabari https://t.co/cGBQScFCDU
 
Back
Top Bottom