PINC
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 206
- 245
Vodacom Tanzania naomba mnitoe kwenye huduma zenu zote maana sioni faida ya kuwa na mtandao wa kipuuzi kama huu.
Kampuni gani haiangalii hata hali ya uchumi inaendaje,nyie ni kupandisha kila kitu na hapo wafanyakazi mnategemea mlipwe mshahara kutokana na mapato ya kampuni.
Shame on you.
Kampuni gani haiangalii hata hali ya uchumi inaendaje,nyie ni kupandisha kila kitu na hapo wafanyakazi mnategemea mlipwe mshahara kutokana na mapato ya kampuni.
Shame on you.