KIFOROKOKWINYO
Senior Member
- Sep 16, 2017
- 168
- 102
Sera ya TTCL ingebadilishwa ili iendane na wakati tulionao hivi sasa wa kibiashara ya mawasiliano SIM nchini sera hiyo inyotumika hivi ni toka shirika ninanzishwa miaka hiyo likiwa halina mshindani kumtegemea mh Rais awapigie Debe bila kutangaza huduma zenu kwa watumiaji wa sim nchini itakuwa ngum kwenu kupambana wapinzani wenu sokoni mitandao ya SIM inajitangaza Sana kuhusu huduma zao nyinyi nyinyi uongozi WA ttcl mnamtegemea mh rais na mshatoa gawio matangazo badiliken na sera badilisheni indane na wakati tulionao sasa