Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Tatizo kubwa linalonikeza VODACOM,meseji za Tatumzuka,Instamoja,supa5,na nyingine nyingi.Ninapowasha simu zinakuja kama mvua mpaka nimelazimika kutoa sauti katika meseji.Nipeni ufumbuzi wa kublock meseji kama hizo.
 
nipo vwawa wilaya ya mbozi mkoa wa songwe naomba kuuliza laini ya M-PESA(till) ukiomba huwa inachukua mda gani ili uipate maana kila nikienda ofisini zenu hapa vwawa naambiwa bado hazijaja nao hawajui zitakuja lini. huu ni mwezi wa nne sasa je nisubilie mpaka lini?
 
Voda wapi vzr sehemu kubwa lakin mapungufu yao ni
1. Mteja unaetumia vocha nyingi kwa mda mfupi kwenye kifurushi cha ya kwako tu bei inapanda zaidi badala ya kukupunguzia.

2. Gharama za kutuma na kutolea Mpesa ni kubwa sana zipunguzwe tafadhali
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
kwanini nikiweka vocha,ni mpaka ni restart simu ndo vocha isome na niweze kujiunga na vifurushi?
 
Swali langu kwanini mmeanzisha huduma ya songesha alafu mtu akifanya muamala huo mnampa alafu siku nyingne akifanya mnakataa mnapunguza kiwango cha songesha mwanzo nilikuwa napata 10000 sasa hiv mia 300 bora mtoe tu hii huduma kwa line yangu maana mnazngua
 
Vodacom! Kuna mfanyakaz wenu anaitwa Mary Grory ni Supervisor! Kiukwel huyo mdada hastaili kuwepo ktk position ya kuhudumia!

Mfano unaweza kuwa na tatizo la system, Yan kuja kulitatua inaweza kupita hata miezi 4! Sasa kwa kufanya hivyo wateja wanaokuja ktk hizi voda shops au voda desk wakikuta huduma zinazohitaji system hakuna kwa siku 4au zaidi hawawezi kurudi na kuwapoteza!

Jaribuni kumweleza huyo muhusika ili abadilike!
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania


TARATIBU ZA KUWA WAKALA
Ninaomba kufahamishwa ni zipi taratibu za kufuatwa ili kuwa wakala wa MPesa
 
0767 242454 hii namba mmeipiga "ban" mwaka wa tatu sasa,haitoi simu,inaingiza tu simu,nimetoa taarifa mara nyingi na bado sijapata jibu mujarabu,hebu nifungulieni hii namba jamani.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Naomba kufhamishwa vigezo vya kupata mkopo wa mpawa kwa simu yangu ninayoitumia mwaka wa pili sasa 0766361429 naombeni vigezo ili nifanikowe kimaisha
 
Vodacom Tanzania

Leo mna shida gani kwenye kutuma sms? Tangu jana usiku unazingua,sms haziendi,zinafell hata kusema tu kwamba kuna tatizo la ufundi hakuna.

Hivi mnajua kua mteja ni mfarume?
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Kuna wizi mkubwa kwa fedha za salio za wateja unaoendelea sasa hivi katika mtandao wa Vodacom.
Kwa vile hili si jungu bali ukweli nimisha report wizi huo katika kitengo cha malalamiko TCRA kwa hatua zaidi.

Nimeweka salio la Tsha 10,000 mchana wa leo kwa Mpesa ref Y23SY687 na baada ya muda mfupi nikakuta salio langu la maongezi ni sifuri.

Nikanunua vocha na kutumiwa tshs 10,000 na hela yote imekatwa tena.

Wateja wa Vodacom jihadharini, kuna mwizi kaingia mtandaoni Vodacom

UPDATE
=====
VODACOM wamefanya ustaarabu wa kunipigia baada ya kuona detail ya transaction hapo juu, na kuiona kwenye mtandao wa Jamiiforums.
Kimsingi wameapologise kwa mtafaruku uliotokea lakini wamenieleza nifike ofisini kwao kuona aian ya simu ninyotumia isije ikawa data apps ziko wazi.
Na kweli baada ya maongezi ya kuchunguza, mobile data setting ilikuwa ON, na mimeizima sasa.

Hata hivyo ni vema nitaenda kupata maelezo ya kuyeyuka kwa salio langu , karibu 20,000, kwa siku moja.
Wanabodi mtajulishwa inawezekana kuna wenye tatizo kama langu.

UPDATE
=====
Nimeonana na waheshimiwa sana wa Customer Care pale Block 4 Mlimani City.
Cha kusikitisha ni wao kushindwa kuchukua malalamiko yangu na kuyafanyia kazi, na hii ni licha ya kuwaelewesha kuwa hili tukio nalijawahi kunitokea na hii kuwa ni mara ya kwanza.

Hawa jamaa wa Customer Care ni kama mabalozi waliopewa jukumu la kusafisha kampuni ya VODACOM hata kama inanuka kwa wizi uliodhahiri.
Kitu ambacho hawajui ni kuwa nilifanya due diligence kupitia wafanyakazi ndani ya VODACOM walionidhihirishia kuwa kuna wafanyakazi wasio waaminifu ambao wana access na personal security settings za wateja.

Na wafanyakazi hao huwa "wapiga kishenzi" fedha za wateja.

Kwa kifupi mtu wa Customer Care ameshindwa kuniconvince na maelezo yake ya upotevu wa Tshs 20,000 katika mtandao wa VODACOM.
Mkuu unatumia m-pesa app??
 
Nahisi Voda wanatumia ndumba(kizizi), maana nashangaa kuna watu still na kulialia lakini bado wanatumia mtandao huu wa kijambazi.
 
Kwa nini vodacom bei zenu sio static unaweza leo ukakuta kifurushi 1000 kesho buku 2000...ni shida sana
 
Back
Top Bottom