Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,194
- 2,461
Hawa jamaa wa voda bure kabsaa...eti wanatoa vifurushi vyakuanzia kila mara wanapandisha gharama zake....1500,2500,leo wameweka kifurushi cha 5000,Dar supa Uni.....hivi hii bihashara yenu mnarenga Wateja watanzania wenye kipato cha chini au kwa wenye kipato cha Juu tu????