Naomba mnisaidie kufahamu namba za Tatu Mzuka au tcra, maana kuna namba imetuma ushindi lakini kila ukipiga haipokelewi. Nahitaji niwasiliane nao au kama ni utapeli niwashitaki tcra.
Kuhusu m-pesa mastercard je,inauwezo wa kupokea pesa ? .kama ni dollars zitakuwa TSH?Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
kwani huko voda sijui mnapewa huduma bure? maana kila siku malalamiko na kuhama hamtaki
Dawa ya moto ni moto achana na voda mwenyewe niliwaacha kitambo sasa natumia tigo.
Dawa ya moto ni moto achana na voda mwenyewe niliwaacha kitambo sasa natumia tigo.
Hapo wanasumbua sana kwa hilo,,,, mi nna tuzo point kibao.. Nikitaka kuzitumia wanazipunguza.. Jamaa hawana ukweli wowote. NiwababaishajiNapenda kufahamu kuhusu suala la TUZO points, Nikiuliza salio naambiwa nina sh 3150 lakini nikitaka Kuvuna naambiwa salio langu halitoshi nina sh 21... ufafanuzi tafadhali!
Tatizo vijijini tunakotoka wanatumia Voda sana sasa unajiuliza nikihama voda kule kijijini mzazi ataweza kujiunga bando la mitandao yote?kwani huko voda sijui mnapewa huduma bure? maana kila siku malalamiko na kuhama hamtaki
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Hahaha nikafikiri ni Mimi peke yangu ndo nakutana na adha hiiKuunga kifurushi cha 3000 lazima uwe na 3500 kwenye salio ili bundle likiisha wafyeke kale kajero kimya kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuzo point 1725 mpaka 3450 unaweza kununua vifurushi lakini kuanzia Tuzo point 14596 unawaza kuzibadilisha kua helaNapenda kufahamu kuhusu suala la TUZO points, Nikiuliza salio naambiwa nina sh 3150 lakini nikitaka Kuvuna naambiwa salio langu halitoshi nina sh 21... ufafanuzi tafadhali!