Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,422
- 2,413
M-PESA WAKALA
Mimi nauliza mbona sipewi till yangu ambayo niliiomba tangu mwaka 2013 na wakati till tayari inaonekana inatumika?
Kila nikijaribu kuongea na wafanyakazi wa huku mitaani wananiambia watashughulikia lakini mwisho wa siku wananiomba tu hela hata tatizo hawajalisolve.
Naomba sana vodacom mnisaidie niipate till yangu maana TRA wanadai mapato tangu 2014 wakati kimsingi mimi sifanyi biashara ya M pesa kwa sasa na nilishindwa kwenda kustopisha kwa kuwa nilijua till yangu nitaipata wakati wowote
Till ina jina la Herbert Bathlomeo Nkuluzy
Nipo Tarime, niliiombea Mwanza na Tarime ila ya Mwanza ndiyo ilitoka na ndiyo hiyo sijaipata hadi sasa.
Mimi nauliza mbona sipewi till yangu ambayo niliiomba tangu mwaka 2013 na wakati till tayari inaonekana inatumika?
Kila nikijaribu kuongea na wafanyakazi wa huku mitaani wananiambia watashughulikia lakini mwisho wa siku wananiomba tu hela hata tatizo hawajalisolve.
Naomba sana vodacom mnisaidie niipate till yangu maana TRA wanadai mapato tangu 2014 wakati kimsingi mimi sifanyi biashara ya M pesa kwa sasa na nilishindwa kwenda kustopisha kwa kuwa nilijua till yangu nitaipata wakati wowote
Till ina jina la Herbert Bathlomeo Nkuluzy
Nipo Tarime, niliiombea Mwanza na Tarime ila ya Mwanza ndiyo ilitoka na ndiyo hiyo sijaipata hadi sasa.