Nyie voda mitambo yenu mnayo funga maeneo ya mpakani ni mibovu au??? Maana unakuta mitambo yenu ipo mipakani na ukiwa na cmu hapo inasoma mitandao ya nchi nyingineNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
ni bora aisee kuliko kuwapa hawa matapeli me wananikera kinoma serikal imetulia tu tcra ndo hawana hta mpangoKwa ujumla hao jamaa lazima huwa wanashirikiana TCRA haiwezekani chombo kinachosimamia walaji kikawa kimya. Kwa maoni yangu tuiunge mkono TTCL maana ni shirika la serikali hata kama tukadhulumiwa ni kama pesa ilitoka mfuko wa kulia kwenda kushoto.
Nilisajili laini mpya baada ya masaa matatu nivyoweka vocha nikaanza kukatwa,heti nadaiwa je nilikopa lini wakati laini ndio Kwanza inamasaa 3?
😸😸😸😸Hahahahaa hao ndo vodamatapeli
Vodacom wizi wa kutuibia salio wananchi wanyonge kwa ujanja ujanja usio na maana utaisha lini?, au hadi tuwashtaki kwa Rais?. Kila nikiweka vocha na kubakiza salio kwenye line yangu vodacom mnaiba izo pesa. Utakuta umefanikiwa kujiunga games longe afu salio linakatwa, najitoa kwenye hiyo games longe lakini wapi...hamchoki kuniibia. Zile mia tano zangu mnazoniibia kila siku, mkiiba kwa wateja wenu milioni moja inamaana kwa siku mnajiingizia shilingi milioni mia tano kiujanja ujanja na kwa mwezi ni bilioni kumi na tano. Hizi pesa hizi sizinajenga hospitali huko vijijini?. (Huu mfano tu ila ni kweli hua naibiwa mia tano kila nikibakiza salio. Namba yangu ni 0769515507)
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Mimi mmeniudhi kitu kimoja nimepoteza laini yangu kuirudisha naambiwa namba tano nilizokuwa nazipigia Mara kwa Mara sasa Mimi nazipata wapi wakati nimepoteza simu kitambulisho ninacho lakini mmeshindwa kunirudishia nimeamua kuachana na voda kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani. Nataka kujua taarifa zangu za hisa. Sikuhudhuria mkutano wa wanakosa.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania