Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Screenshot_2017-09-20-11-44-14.png
 
Kwa kwel huu mtandao wa vodacom kuna muda unakera sana haiwezekan kwa muda wa siku 2 intaneti inakuwa ovyo kabisaa

Mnajua wengine kazi zetu zinategemea internet sasa mnapodhoofisha huduma yenu mnajua ni hasara kiasi gan tunayopata?

Jana nilinunua kifurushi cha masaa 24 ambacho leo ndio kitaisha lakin hadi kinaelekea kuisha nadhan hata mb 200 sijatumia... Yan hata kufungua nyuz za JF inakuwa ngumu

Ningependa kuyaomba makampuni ya simu endapo kuna itirafu au matengenezo yoyote ya mitambo yenu muwe mnatupa taarifa mapema wateja wenu ili tuchukue hatua mbadala
Kwa akili zangu za kuzuia zuia maombi nilipoona neno HAUPANDI nikajua ni lile neno JOGOO WANGU HAPANDI MTUNGI kumbe ni haupandi 3G
 
habar za mda huu,mim nimtumiajii wa vodacom mpesa,nimelipia kifurushi cha dstv kupitia mpesa toka juz lkn mpka sasa dstv wanasema hawajapata pesa,na nikipig huduma kwa wateja vodacom wanambia wanashughulikia lkn siku tatu zimepitaa,kamaaa kuna kuna mtu wa voda au mwenye msaada anisaidie asante
 
habar za mda huu,mim nimtumiajii wa vodacom mpesa,nimelipia kifurushi cha dstv kupitia mpesa toka juz lkn mpka sasa dstv wanasema hawajapata pesa,na nikipig huduma kwa wateja vodacom wanambia wanashughulikia lkn siku tatu zimepitaa,kamaaa kuna kuna mtu wa voda au mwenye msaada anisaidie asante
Mkuu ni inbox namba yako uliofanya muamala i will feedback letter.
If you only trust. If dont then mute
 
Jamani Kampuni ya Vodacom Tanzania mbona wananchi tunashindwa kuwaelewa haiwezekani leo inakaribia wiki moja mtandao wenu wa mawasiliano ni mbovu especially kanda ya ziwa simu hazitoki , data nazo ni shida, m pesa nayo ndiyo usiseme unatoa hela asubuhi inakuja message usiku hivi tatizo ni nini mtujulishe tujue hata kama mnajaribu kutatua tatizo. kwa sababu hii sasa ni too much....
 
Jamani Kampuni ya Vodacom mbona wananchi tunashindwa kuwaelewa haiwezekani leo inakaribia wiki moja mtandao wenu wa mawasiliano ni mbovu especially kanda ya ziwa simu hazitoki , data nazo ni shida, m pesa nayo ndiyo usiseme unatoa hela asubuhi inakuja message usiku hivi tatizo ni nini mtujulishe tujue hata kama mnajaribu kutatua tatizo. kwa sababu hii sasa ni too much....
Wapigie wako faster sana kutatua matatizo ya wateja.
 
Back
Top Bottom