Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,132
Watanzania wenzangu ninachoandika hapa ni ukweli kabisa, Vodacom gharama zao ni Jipu ,maana si kwenye vifurushi vya data,kupiga simu ,sms au makato ya miamala ya huduma za kifedha, hawa jamaa ni hatari,
Mfano mzuri ni huu,
Airtel kwa Tsh 1000 =GB1
Zantel kwa 1000=GB 1
Tigo kwa Tsh 999=GB 1
Ila Voda Tsh 1000=MB 500
huu MTANDAO una GHARAMA za juu sana hapa nchini na sielewi kwanini !! Mpaka najiuliza
(i)Wanalipa KODI KUBWA kuliko wenzao?
(ii)Wametumwa Pesa?
(iii)Wanajua watanzania wote matajiri ?
(iv)Wanafanya makusudi ?
Mfano mzuri ni huu,
Airtel kwa Tsh 1000 =GB1
Zantel kwa 1000=GB 1
Tigo kwa Tsh 999=GB 1
Ila Voda Tsh 1000=MB 500
huu MTANDAO una GHARAMA za juu sana hapa nchini na sielewi kwanini !! Mpaka najiuliza
(i)Wanalipa KODI KUBWA kuliko wenzao?
(ii)Wametumwa Pesa?
(iii)Wanajua watanzania wote matajiri ?
(iv)Wanafanya makusudi ?