Shame on you!!Tigo ni mb 500. Acha kuwadanganya watu bhana
Shame on you!!
Hyo Tigo ya Burundi labdaView attachment 360362 endelea kubisha. Unadhani unatumia mwenyewe hiyo tigo
Tatizo lenu huwa hamuwezi kutafakari. Kwangu napewa mb 500 bado unanibishia. Sasa hapo sijui unabisha nini?Hyo Tigo ya Burundi labda
Unaibiwa wwTatizo lenu huwa hamuwezi kutafakari. Kwangu napewa mb 500 bado unanibishia. Sasa hapo sijui unabisha nini?
Najua kuwa naibiwa. Ndio maana nikasema sio voda peke yao wanaotoa mb 500. Hata tigo ni hivyo hivyo. Huenda wapo wa voda wanaopewa gb 1 ila wewe unapewa mb 500. Au bado hujapata pointUnaibiwa ww
Aiseee wote MAJIPUNajua kuwa naibiwa. Ndio maana nikasema sio voda peke yao wanaotoa mb 500. Hata tigo ni hivyo hivyo. Huenda wapo wa voda wanaopewa gb 1 ila wewe unapewa mb 500. Au bado hujapata point
Zantel ipo kinadharia kuliko kiuhalisia.. Zantel ni Tigo.... Kuanzia mwezi wa 12 wateja wa zantel watafaidi network ya tigo kama wanavyofaidi tigo wenyewe...Hivi zantel bado ipo??
ucjilazmishe kutokukubali.... voda wako juu sana. acha ubish kwenye seriuz ishusi tetei Vodacom lakini kama unataka kusema wao ni ghali kuliko wengine walau ungepitia huduma zote wanazozitoa mathalani mobile money, voice, etc kama kote huko wapo ghali ndio uje na conclussion hiyo hapo vinginevyo hujawatendea haki Voda na wala hujaitendea haki taaluma yako kama Great thinker
Watanzania wenzangu ninachoandika hapa ni ukweli kabisa, Vodacom gharama zao ni Jipu ,maana si kwenye vifurushi vya data,kupiga simu ,sms au makato ya miamala ya huduma za kifedha, hawa jamaa ni hatari,
Mfano mzuri ni huu,
Airtel kwa Tsh 1000 =GB1
Zantel kwa 1000=GB 1
Tigo kwa Tsh 999=GB 1
Ila Voda Tsh 1000=MB 500
huu MTANDAO una GHARAMA za juu sana hapa nchini na sielewi kwanini !! Mpaka najiuliza
(i)Wanalipa KODI KUBWA kuliko wenzao?
(ii)Wametumwa Pesa?
(iii)Wanajua watanzania wote matajiri ?
(iv)Wanafanya makusudi ?
Hko kwenye miamala ndyo balaa xxNi ukweli Voda wapo juu sana gharama zao,ila Makato yao kwenye miamala ni nafuu kuliko mitandao mingine na pia Internet yao ipo kasi sana kuliko mitandao mingine!!,Hapo huwa wananipoza na machungu ya gharama zao kua juu!!!
Mnatofautiana code, Tambua tigo wana *148*00# na *148*01# so tazama huwa unatumia ipi kati ya hizi, siku nyingine kuwa na ujuzi kamili wa unalopinga...View attachment 360362 endelea kubisha. Unadhani unatumia mwenyewe hiyo tigo