Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Kampuni ya Vodacom imetangaza mpango wake wa kuuza hisa katika soko la hisa la Dar es Salaam hii ni Fursa kama mtu una sh. 5,000,000 hivi waki issue Initial Public Offer (IPO) nenda kanunue maana zitakua chip na Vodacom imeshaaminika kwa wananchi na sioni kama itashuka kwa miaka ya hivi karibuni.