kindoki
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 213
- 218
Wakuu ninamiliki tablet ya Vodacom kwa kipind kisichozid miez kumi, sasa imeanza tatizo la kugoma kupiga simu azitoki lakin nikipigiwa zinaingia vizuri tu na Huduma zingine inafanya kama kawaida icpokuwa upande wa OUT GOING CALLS ndio imegoma, ukipiga simu inaandika "ACM EXCEEDED LIMIT", mwenye utaalamu anisaidie mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app