Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,129
- 983
Sijui nina gundu na 3G ya Voda?
Kila simcard ninayotumia, speed yake inanifanya nisonye kila mara. Kila simu nitakayobadilisha ujinga ni uleule, 3G ya voda ipo slow sana huku Dodoma, hata sioni raha ya huu mtandao mkongwe.
Kwa mlio Dodoma, mnakutana na huu u-slow wa 3G wa voda?, au ni mimi tu?
Kila simcard ninayotumia, speed yake inanifanya nisonye kila mara. Kila simu nitakayobadilisha ujinga ni uleule, 3G ya voda ipo slow sana huku Dodoma, hata sioni raha ya huu mtandao mkongwe.
Kwa mlio Dodoma, mnakutana na huu u-slow wa 3G wa voda?, au ni mimi tu?