Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Asanteni sana vyura fc mmenitikia mkeka wangu wenye odd 18 vyura win.
Mzee sio kwa kujiamini huku! Hongera timu ya wananchi!Hawa wakulima wa Alizeti tunawapiga Bao zisizopunguq 3 leo. Team yetu imeshaelewa Falsafa ya Kocha wetu mpya.
Kama tukifungwa leo nipigwe Ban ya masaa 24. Leo ushindi upo nje nje kabisa.yaani bila chenga. Na uhakika wa asilimia 100 na sasa ndo tumefungulia bomba. Tutawatiririshia tu maji machafu mpaka wapagawe.
Yanga kwa Morison wamelamba dime.Benad Morison = Kagere + Chama+ Kahata+ Ajibu.
Mikia wanasema Morison anajua, kwani sisi ndiyo tuliwaambia msajili Wahindi, au Mo kawa muongoza filamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata na mie nimekubali bro. Yuko vizuri.
Yule huwa hata dkk 75 hazimfai kwani anachoka haraka mnoo.Nitofautine na wewe katika hili mie namuona
Molinga mzito
Yaani mkifungwa huonekani kabisaNahamaje Mtani? í ½í²í ½í²
💃💃💃Leo Tunashinda andaa tu juice ya Kitunguu,limao na ukwaju unywe. Tupo Vizuri.
Haha nadhani hata mtoa mada alifikir mtatoa sare au kuchezea si unacheki alivyoanza uzi wake....Ila sahivi keshaususa uzi wake....Nadhani wanawavutia pumzi gemu ijayo na mlivyowakejeli humu.Nimekuja Mkuu.
Nawaona mikia wanavyojibaraguza leo. Lol. Kama sio wale wanakuwaga na kauli za shombo. Teh. 😂😂😂😂
Naongezea na "Potelea pwete hii ni ya kwetu ..."Mkuu! Mie kwa sauti ndogo kabisa naungana na yule shabiki machachari wa Yanga wa vigelegele na miluzi "hakuna alieandikiwa barua kuishabikia Yanga, wacha ituue". Matokeo ya mechi ndio yataamua kama niongeze sauti + kigelegele + mluzi au la! 😅