Vodacom Premier League: Yanga SC 0 Vs 1 Azam FC

Timu bora. Bidhaa bora
90+4' kuelekea kumalizika kwa mpambano huu wa VPL

Azam FC wanapata kona inapigwaaaaaa kona fupi kwake wadada lakini inaokolewa

Mpira unaenda lango Azam FC Razak anadaka analala chini


Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umekwisha ambapo Azam FC wanaibuka na ushindi wa bao moja bila likiwa bao la kujifunga kwa mlinzi Ally Mtoni 25'

FT: Azam FC 1-0 Yanga African

....Ghazwat..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom