Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Nugaz hana loloteNugaz anakwambia yanga ya sasa ikiwa inacheza ,unaagiza kinywaji baridiii kufurahiaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nugaz hana loloteNugaz anakwambia yanga ya sasa ikiwa inacheza ,unaagiza kinywaji baridiii kufurahiaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nugaz anakwambia yanga ya sasa ikiwa inacheza ,unaagiza kinywaji baridiii kufurahiaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasukwasu fc gongowazi vyura mbute mbute fc
90+4' kuelekea kumalizika kwa mpambano huu wa VPL
Azam FC wanapata kona inapigwaaaaaa kona fupi kwake wadada lakini inaokolewa
Mpira unaenda lango Azam FC Razak anadaka analala chini
Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umekwisha ambapo Azam FC wanaibuka na ushindi wa bao moja bila likiwa bao la kujifunga kwa mlinzi Ally Mtoni 25'
FT: Azam FC 1-0 Yanga African
....Ghazwat..
Hawa Ndio wacheze halafu washinde hebu tuwe serious kidogo View attachment 1327035
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Ndio wacheze halafu washinde hebu tuwe serious kidogo View attachment 1327035
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu fanya kweli tafadhali!Ikiwa hivyo mi ntafanya hivi
Natimba washington nikiwa jeshi la mtu mmoja nahakikisha nasepa na bichwa la trump bila wenge nampelekea ayatolah halafu anipe bingo ile ya m 80$ nije nitanue hyatty hotel
Huyu mpu-u-zi leo ndiye nyota wa mchezo kwa Azam!Ally Abdulkarim Mtoni Chonso.
Alliance keshooKituo kinachofuata...???
"Daima mbele nyuma mwiko"
Timu ya wananchi
Acha mnyama aendelee kukusanya points hawa vyura waache waendelee kufurahia sare ya tarehe 4
Acha mnyama aendelee kukusanya points hawa vyura waache waendelee kufurahia sare ya tarehe 4
Kwani yanga kashinda?
Hii laana haitawaacha inatoaje sare na timu bora kabisa hakuna kupata matokeo mpaka tuwafunge tena ndio waendelee na maishaAcha mnyama aendelee kukusanya points hawa vyura waache waendelee kufurahia sare ya tarehe 4