OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,179
- 103,663
Gori la Kagere limenipa point ila off side clear
Sema tumebebwa mkuu90+3' Bado sekunde chache kumalizika kwa mchezo huu wa VPL
Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umekwisha ambapo Simba wameweza kuibuka na ushindi wa mabao matatu dhidi ya mawili ya Namungo FC
FT: Simba SC 3-2 Namungo FC
Hahahahahahahahah Lile jina la Muamala Fc tunastahili kuitwa kabisa.
Mimi ni Simba lialia lakini kwenye ukweli usemwe tu.Kila mechi huyu mama anawabeba mgongoni Frolentina Zabron bila aibu kabisa,vibendera wanaonyesha offside za uongo uongo ila offside za mikia ni sawa tu magoli.......mnatia aibu
Ndio waamuzi wetu wa TZ hao mie naona sawa tu maana kuna magoli mengine huwa yanafungwa kihalali kabisa lakn yanakataliwa kwamba ni off side
🐸🐸🐸🐸Wanalalamika goal la 3 et ni off sideNasikia Malalamiko tu kwani kuna nini kimetokea?
Simba nguvu moja
🐸🐸🐸🐸Wanalalamika goal la 3 et ni off side
Twende taratibu mkuu, kwani wakati mpira unapigwa na kichwa yule alisogea mbele? Au alibaki position ile ile? Na hapo hapo wakati mpira unapigwa wa kichwa je kagere alikuwa kazidi au hakuzidi?Sijaona kabisa offside,labda kama unaongelea kiushabiki zaidi,beki wa Namungo alifanya kosa la kizembe la kumkimbia Kagere badala ya kumdhibiti,hapo ndipo alipobugi kwani kabla mpira haujapigwa Kagere alikuwa mbele yake,lakini ulivyopigwa akataka kucheza offside trick,hapo ndipo alipobugi
🐸🐸🐸Wanaumia sanaaaa kuliko hata namungo wenye timu yao Hakika ni matokeo katili sana kwa 🐸🐸🐸Wamewapa Namungo mkwanja wawakazie Simba wanaumia pesa yao imepotea bure.
Twende taratibu mkuu, kwani wakati mpira unapigwa na kichwa yule alisogea mbele? Au alibaki position ile ile? Na hapo hapo wakati mpira unapigwa wa kichwa je kagere alikuwa kazidi au hakuzidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile goli la tatu kuna washabiki wa simba wanafurahia kupatikana kwa point tatu muhimu lakini wamekiri ya kwamba goli halikuwa halali ni offside. Hizi timu kubwa zinabebwa sana na waamuziWanalalamika goal la 3 et ni off side
Kwa gharama ya usajili wa simba..hao wa hapahapa..tulitakiwa tuwe tunawapiga goli NNE kuendeleaGoooooooooooooooooooaaal
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOAAAL
Dilunga anafumua shuti kali sana na kuhesabu bao la pili na kumuacha golikipa akichumpa bila mafanikio
Simba SC 2-1 Namungo FC
Replay nimeangalia mara tatu tatu. kabla ya mpira wa kichwa kupigwa, Kagere hakuwa amezidi. ila wakati mpira wa kichwa unapigwa (pasi ya kichwa) Kagera alikuwa kwenye offside position.Angalia vizuri replay mkuu,kila kitu kipo bayana kabisa hakuna magumashi,labda kama upo kiushabiki zaidi