Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL inatarajia kurindima leo kunako dimba la Kambarage Shinyanga ambapo wenyeji Mwadui FC, wanawakaribisha Mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni.
Mchezo unakuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika tisini hasa ukizingatia Simba SC wanakwenda kwenye mchezo huo wakiwa na lengo moja tu la kuendeleza rekodi ya kutopoteza mchezo katika VPL
Simba ndo timu pekee ambayo haizapoteza mchezo wowote huku safu ya ushambuliaji ikiongozwa na MK 14 Maddie Kagere ikiwa ni moto wa kuotea mbali kwa timu nyingine. Je Mwadui ataweza kumzuia Mnyama au Mnyama ataendelea kujikita mawinguni?
Usikose Ukaambiwa soka hili la Mwana Kulitaka Kulipewa ...kuanzia saa 10:00 jioni.View attachment 1248980
Mchezo unakuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika tisini hasa ukizingatia Simba SC wanakwenda kwenye mchezo huo wakiwa na lengo moja tu la kuendeleza rekodi ya kutopoteza mchezo katika VPL
Simba ndo timu pekee ambayo haizapoteza mchezo wowote huku safu ya ushambuliaji ikiongozwa na MK 14 Maddie Kagere ikiwa ni moto wa kuotea mbali kwa timu nyingine. Je Mwadui ataweza kumzuia Mnyama au Mnyama ataendelea kujikita mawinguni?
Usikose Ukaambiwa soka hili la Mwana Kulitaka Kulipewa ...kuanzia saa 10:00 jioni.View attachment 1248980