3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Poa tu..Kwema! za huko?
Poa tu..Kwema! za huko?
Dk 99 Young African 2 Vs Pyramid 2
Wat the hell !!!Dk 99 Young African 2 Vs Pyramid 2
Alisikika msemaji NundazDk 99 Young African 2 Vs Pyramid 2
Dk 114 Young African 4 vs Pyramid 2 ndani ya jengo la Yanga pale bondeni naona mbu wanashangilia na miluzi mingi..Dk 99 Young African 2 Vs Pyramid 2
Ndo maana walichagua Mwanza kisa mbu huku JangwaniDk 114 Young African 4 vs Pyramid 2 ndani ya jengo la Yanga pale bondeni naona mbu wanashangilia na miluzi mingi..
Hata wewe??Singida funga hao mikia warudi msimbazi wakapate vumbi la kariakoo.
Punguza sauti basi.Hata wewe??
Umekimbilia Mwanza haya tuambie kama umevuna ulichopanda
Poleni sana mtani... sasa mkapindue meza uarabuni kama kawaida yenuPunguza sauti basi.
Ni ngumu.Poleni sana mtani... sasa mkapindue meza uarabuni kama kawaida yenu
Msipopindua matokeo mwanakani hamuendi popote. Mwaka jana tumewabeba mwaka huu mmechemka kujibeba. Mtakuwa kama Mbao FCNi ngumu.
tunawauliza kwa nini goli nyingi mnataka mfungwe nyinyi tu. Simba ni mume wa kila timu acheni kila mtu apate dozi nzuri kama mlivyopigwa nneeeeeeeeeeeeeeeJana ilicheza Coastimba Union
tunawauliza kwa nini goli nyingi mnataka mfungwe nyinyi tu. Simba ni mume wa kila timu acheni kila mtu apate dozi nzuri kama mlivyopigwa nneeeeeeeeeeeeeee