Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 340
Habari wanajamvi?
Naomba kufahamu juu ya Vocha Mpya ya Vodacom yenye thamani ya Tshs. 450/=. Nimepata mkasa wa kubishana na kufikia hatua kuonekana mkorofi dhidi ya wauzaji wadogo wa Vocha, kisa ni kwamba hizo Vocha za Tshs. 450/= zimeandikwa bei hiyo lakini wao wanauza kwa Tshs. 500/=.
Nilipata shida kuamini kwenye duka la kwanza lakini takribani 3 days nimeona huo mchezo unaendelea huku kwetu TABATA, nilikwenda dukani na kuambiwa kuwa hiyo ndiyo bei mpya ya Vocha ya Voda na wanakonunua (whole sale shops za voda au wafanyabiashara wakubwa wa Vocha) wanawaambia kuwa let your customers pay Tshs. 500/= and give them voucher ya Tshs. 450/=.
Wadau hamjakutana na hii kadhia au nini maana ya hii bei, Tshs. 50/= kwa kila mteja kuacha dukani....ni pesa nyingi sana....na i find it to be illegal appropriation of money!!
Tusaidiane kufahamu wizi huu wa either VODACOM au WAFANYABIASHARA.
Thanks for having this platform to air my views.
Naomba kufahamu juu ya Vocha Mpya ya Vodacom yenye thamani ya Tshs. 450/=. Nimepata mkasa wa kubishana na kufikia hatua kuonekana mkorofi dhidi ya wauzaji wadogo wa Vocha, kisa ni kwamba hizo Vocha za Tshs. 450/= zimeandikwa bei hiyo lakini wao wanauza kwa Tshs. 500/=.
Nilipata shida kuamini kwenye duka la kwanza lakini takribani 3 days nimeona huo mchezo unaendelea huku kwetu TABATA, nilikwenda dukani na kuambiwa kuwa hiyo ndiyo bei mpya ya Vocha ya Voda na wanakonunua (whole sale shops za voda au wafanyabiashara wakubwa wa Vocha) wanawaambia kuwa let your customers pay Tshs. 500/= and give them voucher ya Tshs. 450/=.
Wadau hamjakutana na hii kadhia au nini maana ya hii bei, Tshs. 50/= kwa kila mteja kuacha dukani....ni pesa nyingi sana....na i find it to be illegal appropriation of money!!
Tusaidiane kufahamu wizi huu wa either VODACOM au WAFANYABIASHARA.
Thanks for having this platform to air my views.