Vodacom na 'utapeli' wao katika vifurushi vyao washika kasi

Check mfumo wa simu yako tatizo simu Ina app za kutosha na kumbuka nyingne zinakuwa updated automatically na unavideo mingne iko downloaded automatically sasa unategemea nn ndugu??????? Simu zetu zina mambo mengne yanatumia data kufanya kaz kwahyo ukifungua tu hayo yanatiririkaaaa
Asante kwa taarifa ila angalizo ni kwamba Vodocom wenyewe wamekili nyongeza ya gharama bila kutoa taarifa kwa wateja arafu sijafanya "uptdate au kudownload any new apps" kwa zaidi ya miezi minne (4)kwanini tofauti ionekane kwa miezi miwili mitatu tu hii..kuna jambo linafanyika basi tu sisi watumiaji hatujaelewa na naogopa isije ikawa kuna mkono wa "Sirikali"....na ajenda ya kutukamua zaidi ....
 
Aisee nilifikiri ni kwangu tu.
Nilikuwa najiunga GB 3 inakaa hata siku 5 lakin saiv inakaa siku mbili na matumizi ni yale yale. Hatari sana hii.
 
Ni kweli kabisa. Sasa hivi hawa makaburu wamekuwa wezi kupindukia.

Sijawahi kuona kampuni wezi na matapeli kama Vodacom Tanzania. Mwanzo tiGO ndio walikuwa wakali kwenye wizi lakini sasa hawa mikwundwuvodacom wametia fora.
Wadau nimekuwa nikifuatilia zaidi ya mwezi sasa nikijiunga na badhi ya virushi vya kampuni tajwa hapo juu pesa zinaisha haraka tofauti na siku za nyuma.

Nilipojaribu kuwapigia Vodacom kweli walikiri kuwa kuna baadhi ya mabadiliko japo hawakutoa taarifa kwa wateja.

Sasa sijui kama kweli hii ni sahii!!
 
Hawa vodacom wamekuwa wezi sana kupindukia..nashukuru Tigo wametusaidia huku mikoani..ukijiunga 2000 voda ..utadhani umeweka hela bila kuunga bundle..mb zinaisha masaa 12 ni mengi..ila tigo 2000..unaiona thamani ya pesa..voda wamekuwa wezi sana
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom