Vodacom na m-pesa ni wizi au?

Rayase

Member
Jun 12, 2009
82
3
I real appreciate the effort of vodacom Tanzania in different angle. but I start asking my self to which business are they in? OK that's not an issue to think much as far to the best of my knowledge they are in the telecommunication industry.
Tatizo langu kubwa ni jinsi walivyoingia kwenye huduma za kibenki. kubwa zaidi kwangu ni hizi transaction cost. Imagine mtu unatuma fedha kupita M-Pesa unakatwa mpaka Tsh 7,000/=. Huwa na najiuliza hawa VODACOM wanania njema na mtanzaia wa kawaida au ndo kutuangamiza wanatanzaia? Wana JF naomba mnisaidie, mnalionaje hili?

Ahsanteni
 
Cost ziko wazi kabisa, na zimebandikwa kwenye kuta.

So ukiamua kuingia nao mkataba wa kutuma hela, its for your own risk, and iam afraid you dont have someone else to blame!
 
Mazee mie ni mteja mzuri sana wa Mpesa, nadhani hujaielewa vizuri, kuna aina mbili za utumaji wa Mpesa. kuna kutuma kwa namba ambayo iko registered kwenye Mpesa na kutuma kwa namba ambayo HAIKO registered. Ukituma kwa namba ambayo iko REGISTERED na MPESA kuanzia shs 1000-500,000 ni tshs 200 TU. Na ukituma kwenye unregistered namba ndo kuna charges tofauti kutokana na kiwango unachotuma, HIZo ni business strategy kwamba km kuna mtu unamtumia mara kwa mara utashawishika kumshawishi na yeye ajiunge na Mpesa ili mtumiane pesa kiurahisi. So mkuu mshawishi huyo unayemtumia Mpesa Ajiunge na hii huduma BOMBA
 
Rayase anatakiwa apewe shule ili aelewe vizuri....fanya utafiti kabla kulaumu kwa kitu chochote.....itakusaidia
 
Ndugu Rayase umenena lakini nitachangia sehemu ya transaction zinazofanyika dhidi ya wateja wa kampuni ya vodacom. Swali langu ni kuwa kwa kiasi fulani kampuni inafanya shughuli za taasisi za fedha tukiacha usajili wa tcra, je benki kuu wana taarifa na hili? kwa kuwa moja ya kazi yao ni pamoja na kusajili taasisi za fedha kuepuka DESI Zingine. naomba wana JF nifahamishe
 
I real appreciate the effort of vodacom Tanzania in different angle. but I start asking my self to which business are they in? OK that's not an issue to think much as far to the best of my knowledge they are in the telecommunication industry.
Tatizo langu kubwa ni jinsi walivyoingia kwenye huduma za kibenki. kubwa zaidi kwangu ni hizi transaction cost. Imagine mtu unatuma fedha kupita M-Pesa unakatwa mpaka Tsh 7,000/=. Huwa na najiuliza hawa VODACOM wanania njema na mtanzaia wa kawaida au ndo kutuangamiza wanatanzaia? Wana JF naomba mnisaidie, mnalionaje hili?

Ahsanteni

I am not interested with tht TShs. 7,000/= but ningependa kufahamu kiwango kama hicho unaweza kukatwa baada ya kuhamisha kiasi gani cha pesa. Na katika matumizi sahii ya lugha,unaposema MPAKA, ni kuonesha hicho ndo kiwango cha juu kabisa ambacho mteja anaweza kukatwa kama transfer fee!!! Kama hivyo ndivyo, basi i have no problem with that otherwise if u put it clear. forget not, transfer fee hata kwenye mabenki ipo juu sana especially btn two banks. Asusume unataka kufanya money transfer from Bank A to Bank B, no one bank will charge you below TShs. 20,000/= even for transfer of tsh. 10,000/=.
 
Mazee mie ni mteja mzuri sana wa Mpesa, nadhani hujaielewa vizuri, kuna aina mbili za utumaji wa Mpesa. kuna kutuma kwa namba ambayo iko registered kwenye Mpesa na kutuma kwa namba ambayo HAIKO registered. Ukituma kwa namba ambayo iko REGISTERED na MPESA kuanzia shs 1000-500,000 ni tshs 200 TU. Na ukituma kwenye unregistered namba ndo kuna charges tofauti kutokana na kiwango unachotuma, HIZo ni business strategy kwamba km kuna mtu unamtumia mara kwa mara utashawishika kumshawishi na yeye ajiunge na Mpesa ili mtumiane pesa kiurahisi. So mkuu mshawishi huyo unayemtumia Mpesa Ajiunge na hii huduma BOMBA
You are right mkuu, like when nmb walivyo-stop "walk in customers". Unajua nini? zamani watu waliifanya nmb kama money transfer centre!! unakuta mtu kila wakati anafanya money transfer from point A to point B, lakini not NMB customer kiasi kwamba hata linapotokea tatizo inakuwa ngumu kufanya tracing! hiyo ni part of risk management.
 
I
real appreciate the effort of vodacom Tanzania in different angle. but I start asking my self to which business are they in? OK that's not an issue to think much as far to the best of my knowledge they are in the telecommunication industry.
Pamoja na kuwa kwenye Communication industry, vilevile wanayo leseni ya financial transactions kama walivyo Western Union, Scandinavian, Dar Express n.k

Tatizo langu kubwa ni jinsi walivyoingia kwenye huduma za kibenki. kubwa zaidi kwangu ni hizi transaction cost. Imagine mtu unatuma fedha kupita M-Pesa unakatwa mpaka Tsh 7,000/=.
Wanachohitaji watu ni huduma bora wala haijalishi ni nani anaetoa whether is a banker or Vodacom it doesn't matter. Bankers wamekua na udhaifu wake ndio maana taasis nyingine wameweza kuwanyang'anya hiyo biashara na hiyo ndio faida ya biashara huria.
Kuhamisha mpaka shilingi 500,000 unalipia sh. 200 tu na wala hawana gharama kubwa kama unavyotaka tuamini. Mfano, Dar Express wanacharge 10% ya hela unayosafirisha na hawana mtandao wa kuaminika kama MPESA

Huwa na najiuliza hawa VODACOM wanania njema na mtanzaia wa kawaida au ndo kutuangamiza wanatanzaia? Wana JF naomba mnisaidie, mnalionaje hili? Ahsanteni
Badala ya kulalamika ungekuja na ubunifu wako utoe huduma kama hiyo kwa bei nzuri zaidi ili uwasaidie hao watanzania wa kawaida. Una maana gani unapohoji kama wana nia njema wakati wanakupa huduma unaweza kumtumia mzazi, mtoto au mhitaji yeyote hela na akazipata kwa muda mfupi tu? Usiangalie anachopata Vodacom, angalia manufaa wanayopata jamii.
 
Jaman mimi ninakubaliana na wachangiaji lakini kwa mfano. umedepost 400,000/= free them unakwenda kudraw wewe mwenye account ya M-Pesa unakwatwa Tsh 7,000/=. Mtanzamo wangu hawa jamaa japokuwa wanasema wanatusaidia na hata mimi naoma huduma yao inaonekana muhimu hasa kwa remote areas naomba wapunguze ili ziendane na hali halisi ya ushindani.
Thanks
 
Nijuavyo mimi Benki Kuu wanafahamu na kuidhinisha transactions hizo kupitia idara yao ya National Payment System (NPS). Vinginevyo Benki Kuu isingeruhusu hilo. Pia kuna masharti wanayopewa na Benki Kuu katika kulifanya hilo. Hivyo shaka ondoa.
 
Hawa jamaa wa vodacom' ni kuwa nao makini kwani kuna kigogo wa Epa anamiliki 25 percent za total Equity .isije Vodacom' MPesa ikawa Epa nyingine wahanga wa MPesa watakuwa watanzania masikini.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom