I real appreciate the effort of vodacom Tanzania in different angle. but I start asking my self to which business are they in? OK that's not an issue to think much as far to the best of my knowledge they are in the telecommunication industry.
Tatizo langu kubwa ni jinsi walivyoingia kwenye huduma za kibenki. kubwa zaidi kwangu ni hizi transaction cost. Imagine mtu unatuma fedha kupita M-Pesa unakatwa mpaka Tsh 7,000/=. Huwa na najiuliza hawa VODACOM wanania njema na mtanzaia wa kawaida au ndo kutuangamiza wanatanzaia? Wana JF naomba mnisaidie, mnalionaje hili?
Ahsanteni
Tatizo langu kubwa ni jinsi walivyoingia kwenye huduma za kibenki. kubwa zaidi kwangu ni hizi transaction cost. Imagine mtu unatuma fedha kupita M-Pesa unakatwa mpaka Tsh 7,000/=. Huwa na najiuliza hawa VODACOM wanania njema na mtanzaia wa kawaida au ndo kutuangamiza wanatanzaia? Wana JF naomba mnisaidie, mnalionaje hili?
Ahsanteni