Eistein
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,107
- 482
Wadau niko na modem hapa ya airtel inaingia line zoote nimeinuua wiki 2 zilizopita, hawa jamaa wamezitangaza sana ooh zinakasi sana daah lakini Mungu wangu kumbe ni uzushi tu niko km kama 3 tu hivi toka moshi town soweto hapa, daaa modemu kimeo mpaka basi huwezi amini some time hata home page ya yahoo, au google, au jamiiforums inabidi uwait dakika 5, au ukomand mara sita sita... spidi ni ndogo mnoooo mwendo wa kinyonga.. dahaaaaa, nimenunua 5 GB ya voda kwa 20,000 hata najuta maana kama homepage tu ni shida kuopeni sembuse kuattach mafaili
Haya nilikuwa na ya voda hapa, ilikuwa fasta sana daah sasa hivi kwisha habari yake, sasa nimechukua line ya voda naweka kwenye hii ya airtel Mungu wangu mambo ni yeleyale.... hizi technologia naona ni uzushi tu, hawa Voda mawesifiwa sana, naona mgema amelitia maji..
1.Nishaurini cha kufanya nduguzanguni maana nimeshaenda hapo voda shop hapa moshi, wameichokonoa wee, lakini mambo ni yale yale
2. Kwa kweli kama kuna mtu wa voda au airtel awaambie hawo mafundi wao, kuwa wanachofanya ni dhambi kubwa sana ni sawa na wizi, maana umelipia huduma halafu huipati kulingana na thamani ya fedha uliyolipia ni sawa na wizi mtupu....hovyo kabisa haya mamitandao wizi mtupu
Haya nilikuwa na ya voda hapa, ilikuwa fasta sana daah sasa hivi kwisha habari yake, sasa nimechukua line ya voda naweka kwenye hii ya airtel Mungu wangu mambo ni yeleyale.... hizi technologia naona ni uzushi tu, hawa Voda mawesifiwa sana, naona mgema amelitia maji..
1.Nishaurini cha kufanya nduguzanguni maana nimeshaenda hapo voda shop hapa moshi, wameichokonoa wee, lakini mambo ni yale yale
2. Kwa kweli kama kuna mtu wa voda au airtel awaambie hawo mafundi wao, kuwa wanachofanya ni dhambi kubwa sana ni sawa na wizi, maana umelipia huduma halafu huipati kulingana na thamani ya fedha uliyolipia ni sawa na wizi mtupu....hovyo kabisa haya mamitandao wizi mtupu