mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 796
Vodacom wansahau kwamba hii game of chance ni nafasi yao kwa kuwa wao ni provider pekee wanaoapatikana
lakini wajue wao ndio wanatupa nafasi ya kujua wizi wao unatufungua macho, ubongo, masikio nk
Ukipigastama kea ni kealesi. hawasaidii lolote ambapo tayari wamekuramba salio.
kama wewe si mwaminifu unajitafutia anguka la milele, hata kama nitakua pekeangu lazima niwakwepe nikipata mbadala
nakumbuka sana nilianza na Tigo wakati ikiitwa MOBITEL upuuzi wao uliepusha nao,
wakati flan sasatel walivyokuja nikajua nimepta mbadala, lkn dawa ya vodacom inakuja...najaribu kuaangalia ama kupata provider yyt mzuri nitawakimbia tu. I SWEAR
lakini wajue wao ndio wanatupa nafasi ya kujua wizi wao unatufungua macho, ubongo, masikio nk
Ukipigastama kea ni kealesi. hawasaidii lolote ambapo tayari wamekuramba salio.
kama wewe si mwaminifu unajitafutia anguka la milele, hata kama nitakua pekeangu lazima niwakwepe nikipata mbadala
nakumbuka sana nilianza na Tigo wakati ikiitwa MOBITEL upuuzi wao uliepusha nao,
wakati flan sasatel walivyokuja nikajua nimepta mbadala, lkn dawa ya vodacom inakuja...najaribu kuaangalia ama kupata provider yyt mzuri nitawakimbia tu. I SWEAR