N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Kwanini mnachelewa kujiorodhesha sokoni DSE?...
Awali mlibainisha kuwa hadi tarehe 12 Juni mtakuwa sokoni kwanini hamjajiorodhesha? na hamjatupa taarifa? .......
Kwanini msiwe na mfumo wa kutu update tulionunua hisa kupitia simu? eg sms au calls? ....Kwa kweli mnatutia mashaka wateja wenu....Ili tuwaamini jitokezeni hadharani mseme nini kinaendelea huko....
Ajabu hata regulator nae yupo kimya...Njooni hadharani mseme nini kinaendelea huko ili tuwaamini! mnatuvunja moyo!
Awali mlibainisha kuwa hadi tarehe 12 Juni mtakuwa sokoni kwanini hamjajiorodhesha? na hamjatupa taarifa? .......
Kwanini msiwe na mfumo wa kutu update tulionunua hisa kupitia simu? eg sms au calls? ....Kwa kweli mnatutia mashaka wateja wenu....Ili tuwaamini jitokezeni hadharani mseme nini kinaendelea huko....
Ajabu hata regulator nae yupo kimya...Njooni hadharani mseme nini kinaendelea huko ili tuwaamini! mnatuvunja moyo!