Vodacom mnakera na meseji zenu mnazotuma hovyohovyo kwa wateja kwa kutumia namba 15778

Bora meseji aisee kuna hilo linamba lao la miziki cjui wakati wa kupigiwa yan unadhani ni sim ya maana ukiangalia ni hilo linamba ukikata dakk 2 hiloo limepigwa tena so boaring ! Sometimes napokea afu naacha hewani ! Kumaliziana chaji tu! Hovyoo!
 
Tatizo nikujiunga haraka haraka na Huduma hizo njia rahisi ya kujitoa ni kuandika neno ondoa utume katika namba iliyokutumia messeji
 
Voda ni wasumbufu sana na sms zao na siku zote wana plani namna ya kuwaibia wateja.
 
Naomba niwasaidie in a detailed form, sina nia ya kupromote huduma hizi bali nataka watu wajua root cause ya walicholalamikia hapa kuwa hii ni huduma gani na anawezaje kujitoa;

GLOBAL BREAKING NEWS
Hii ni huduma ya kupata global breaking news za wasanii na watu maarufu (celebrities) na zingine kutoka magazeti pendwa ya UWAZI, IJUMAA, AMANI, RISASI na IJUMAA WIKIENDA moka kwa moja kwenye simu yako.

Kujisajili tuma "GLOBAL" kwenda 15778
Kusitisha tuma "STOP" kwenda 15778

Kuna mwingine amezungumzia PERUZI toka namba 15368

Maelezo yake haya hapa;

Customers can peruzi/browse and get updates from different popular local blogs such as Michuzi, bongo movie, global publishers, Millard Ayo etc.

Customer subscribes by sending sms with the keyword PERUZI to 15368 and there after will be directed to a specific local blog. Then Unsubsribes by sending sms with keyword STOP to the same number

Note; customers can visit the blogs if the handsets support the internet service and the normal data charges will apply.

Wale wa caller tunes tuma neno ONDOA kwenda 15577

Nawasilisha, nafikiri wengi tutakuwa tumejua si tu namna ya kujitoa kwenye huduma hizi, bali pia kujua kwa undani ni kitu gani kimo ndani ya hizi huduma na nani anahusika hapa.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
nikiona ya kuanzia 15xxx nafutaga kabla ya kusoma. Nakatwa kila mwenzi buku jelo eti bima sijui nimewafata lakini wapi kila mwez nakatwa je nifanyeje lakin ni tigo.

Sitisha kuweka salio kwa miezi 2 utakuwa umejitoa rasmi lakini Ukisema uende ofisini kwao ili wakutoe watakuzingua tu.
 
jamani TIGO ni balaa messeji za kipuuzi zimezidi, wakati mwingine unaendesha gari unasikia msg zimeingia ukisimama usome unakuta habari za taarabu ni mziki wa mwambao ulioanza miaka ya ....... sasa nini hii?
 
Vodacom mnakera na meseji zenu mnazotuma hovyohovyo kwa wateja kwa kutumia namba 15778.

Habari zingine ni za udaku! Mfano leo kuna ujumbe umetumwa "baada ya ndoa ya wasanii... kuvunjika...Risasi limeandika!"

Huwa hamchelewi kuanza kukata salio!

Uejiunga mwenyewe....hadi uombe msamaha
 
Vodacom mnakera na meseji zenu mnazotuma hovyohovyo kwa wateja kwa kutumia namba 15778.

Habari zingine ni za udaku! Mfano leo kuna ujumbe umetumwa "baada ya ndoa ya wasanii... kuvunjika...Risasi limeandika!"

Huwa hamchelewi kuanza kukata salio!
Barasu Shinda 12,000pointi zaidi:
Jina jipya la barabara ya Old Bagamonyo Road ni lipi?
1.Ununio
2.Mwai Kibaki
Tuma 1au2 kwenda 15544!
 
Last edited by a moderator:
Shinda point 25,000 zaidi:Rais Jakaya Kikwete ni rais wa nchi gani?
1. Kenya
2. Tanzania
Tuma 1 au 2 kwenda 15544
 
Vodacom mnakera na meseji zenu mnazotuma hovyohovyo kwa wateja kwa kutumia namba 15778.

Habari zingine ni za udaku! Mfano leo kuna ujumbe umetumwa "baada ya ndoa ya wasanii... kuvunjika...Risasi limeandika!"

Huwa hamchelewi kuanza kukata salio!
Eti bana,..simu yako wanakutumia matangazo yao bila kukulipa chochote. Hebu waulize kama wakitangaza kwenye mabango na magazeti ni bure! Waache kuboa wateja..unakimbilia simu kudhani sms yako unakuta wanakutangazia biashara yao. Kuna haja wateja kuungana kupinga huu uzandiki/unyanyasaji.
 
Wengine ni clouds na story zao za fiesta inabamba mara AY atangaza ndoa mara FA asema bado niponipo; mimi sijawahi hata kujiunga na ujinga huu lakini mimeseji inamiminika tuuu nikiandika stop lisimu likunja ndita meseji haiendi na ujinga unaendelea hebu hii mitandao itutangazie namna ya kukomesha maujinga haya kabla hawaanza kutumiminia mimeseji yao
 
Nijajitoaje kwenye usumbufu huu wa voda?au niache kutumia line yao?hivi ttcl bado mnatoa line?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
yaani kuna siku nimekaa na bibi mmoja kwenye basi aise alitumiwa meseji ya kipuuzi sana kutoka hyo namba kuhusu mambo ya BIG BROTHER aise mpaka nilimuonea huruma
 
Shukrani DEONOVA kwa ufafanuzi wako wa jinsi ya kujitoa huduma za PERUZI na GLOBAL.Nimefanikiwa kwa 100%!!
 
Voda na meseji za makamba sijui bumbuli tuandamane mala tuvamie kiwanda mala leo nahutubia sijui nini...si wote wa bumbulii aiseee mnakera sana vodacom....nafuu tigo wanakera ila wanasikiliza sana wateja wao ktk fb wako vizuri ni kama crdb huko ktk fb page zao!
 
Shukrani DEONOVA kwa ufafanuzi wako wa jinsi ya kujitoa huduma za PERUZI na GLOBAL.Nimefanikiwa kwa 100%!!

Asante bwana Kibishi niite mhudumu wa matatizo madogo madogo ya wadau JF (JF customer care).

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kuna kinamba kingine tena,kama sijakisahau ni 15544,kinaboa vibaya,haya sasaivi ni wezi wa mchana kweupe,na hiyo menu yao mpya..
Walinikamata siku moja hawatanikamata tena...
Washenzi wakubwa
 
Kuna kinamba kingine tena,kama sijakisahau ni 15544,kinaboa vibaya,haya sasaivi ni wezi wa mchana kweupe,na hiyo menu yao mpya..
Walinikamata siku moja hawatanikamata tena...
Washenzi wakubwa

Hicho kinamba hakina madhara sana kaka, ni kama "toothless dragon". Hicho ni Mega Promotion ile ya kujishindia Boda Boda ama pesa taslimu, ila meseji inayotumwa hata iwe na mbwembwe kiasi gani usibabaike nayo maana zile ni Invitation Message tu za kukuvuta ushiriki.

Unapojaribu kuijibu tu neno lolote (nasisitiza tena unapojaribu tu kureply neno lolote) unafyekwa Tsh. 300/= on the spot! Ukijibu tena 300/= nyingine inasepa, ukirudia kujibu 300/= hiyooo! Dawa pekee usijibu chochote (liwe neno NDIYO, STOP, ONDOA, CANCEL usijibu maana system yao inapromt kuwa una-attempt to subscribe so inaku-prob moja kwa moja kwenye promo na charges apply on the spot. ) Ukiona msg zinakuwa kero kwako unaweza wapigia 100 ama 15366 waambie wakutoe usiwe unapokea hizo msg, usiwasikilize chochote waambie SITAKI HIZO msg na watakutoa kwenye kupokea hzo msg ktk hiyo Promo yao.
Nina uhakika huo maana nina uzoefu nao sana hawafurukuti, ukiwa mpole watakufilisi.



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom