SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,104
- 7,857
Kwa muda sasa huduma ya kutuma na kupokea kupitia Vodacom MPESA kwa walio nje ya nchi imekuwa haifanyi kazi kabisa.
Sielewi kwa nini hii kampuni imekuwa na tabia ya kusitisha huduma zake na kubadilisha vifurushi bila kutoa taarifa kwa wateja wake.
Na ukienda Bank kutumia Western Union nasikia na kwenyewe hata kitambulisho cha kupigia Kura hakikubaliki.
Hivi mnajua hii nchi tunarudi nyuma kwa kasi sana?
Sielewi kwa nini hii kampuni imekuwa na tabia ya kusitisha huduma zake na kubadilisha vifurushi bila kutoa taarifa kwa wateja wake.
Na ukienda Bank kutumia Western Union nasikia na kwenyewe hata kitambulisho cha kupigia Kura hakikubaliki.
Hivi mnajua hii nchi tunarudi nyuma kwa kasi sana?