malamsha shao
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 215
- 77
Wana jf ninaomba wenye uzoefu waniambie faida inapatikanaje kwa kila transaction na inachukua muda gani kuomba mpaka kupewa code au line ya uwakala na gharama zozote unazoingia ili kupata hiyo line natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mchango wenu