Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,068
- 4,288
Meeee meeee meeee
Na Wao wanaruhusu kuendelea kutumia wakati umemaliza Gb zako kama voda?Halotel kwa mwezi ni Gb 38.6
Eerr! Kama kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake, imekuwaje kuongekea bando la 50k wakati kuna watu wanasotea kuunga la buku saazingine wanabau?Kwa sh 50,000/= unapata gb 37 za kasi na hata ukimaliza hizo gb 37 unaendelea kutumia internet mpaka ile tarehe ya bando kuexpire ifike japo wanapunguza kasi kidogo.
Kwa uchumi wa sasa hilo ndio bando sasa la kuunga, maana vile vifurushi vya wiki unatumia siku mbili kimeisha.
Na unakuta unavyojiunga kila siku kwa mwezi unakuta umetumia hela nyingi sana.
Bora utoe 50k yako at once uenjoy maisha na internet yenye kasi toka Vodacom
NB:
Sitaku makasiriko katika uzi huu, kila mbuzi ale urefu wa kamba yake, full stop!!
Huu mzgo umeupataje mzee tupeane connectionNaendelea kula maisha na tigo
View attachment 2008772
TakatakaTTCL ndio mpango mzima
Ukiutaka shauri uwe na tigo imara.Huu mzgo umeupataje mzee tupeane connection