Nimekuwaa hapa iringa, habari hizi zinazumgumzwa wazi wazi, kuwa prof. msolla wakati akiwa waziri wa sciense na technologia, ndiye aliyeamuru kupunguzwa kwa bei za simu kupitia inter connection tariffs na kadhalika. kampuni ya vodacom inayomilikiwa na rostam aziz na lowasa ilikuwa tayari inapinga sana hili. mtakumbuka kuwa mabilioni ya voda yametumbukizwa kwenye kampeni za jk kwa ridhaa ya wamiliki wa voda.kushuka kwa bei za simu kumeathiri sana kampuni hii, hivyo wamiliki wakaapa kwa ufisadi wao kuwa profesa msollla basi! safari ya msolla ndo inakaribia ukingoni kisiasa kwa kuwa amegusa mahali alipogusa mwenzake samweli sita, lembeli na seleli yetu macho