Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,841
- 2,270
Usisahau KULFI
Usisahau KULFI
Na Amaira 😂
Chilita chilita 😉Utakuwa unaziweka 😂
Watu mnasahau sana lakini tatizo ni kufuatilia umbeya zaidi kuliko mambo ya msingi.Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714
TZ na africa kiujumla customer care kila sehemu ni disasterDu! hii Kali sasa,,yaani mi nilipiga wiki iliyopita TTCL huduma kwa wateja yaani alivyopokea yule mama sijui Dada anaongea utadhani kajifunika blanket,anaongea kwa uchovu, nikahisi labda yupo jikoni maana nasikia kama mtu anaosha vyombo,ishu yenyewe ilikuwa ndogo tu nilikwangua vocha vibaya ikawa haionekani,nikaambiwa subiri saa 24,utajulishwa mpaka leo hakuna lolote ni wiki sasa,vocha yenyewe niliamua kutupa tu
Watu mnasahau sana lakini tatizo ni kufuatilia umbeya zaidi kuliko mambo ya msingi.Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714
KimeumanaaKutoka zantelView attachment 1891812
Wamefanya U-turn
Hello, Please be informed that we will review our bundles on 16/08/2021. Continue to enjoy quality services from Vodacom. Terms and Conditions apply.
Nipo Halotel hii imebaki tu pambo kwenye kimeo changu
Walisitisha kwa mwezi mmoja tu😂😂Ndugu mteja, tumesitisha mabadiliko ya vifurushi yaliyotarajiwa kufanyika tar.16/08/2021 mpaka utakapojulishwa tena. Asante!
Umenishtua mzee.Walisitisha kwa mwezi mmoja tu😂😂
Kwanini?Umenishtua mzee.
Nikajua tena wamerudia.Kwanini?