Vodacom kubadili vifurushi kuanzia jumatatu 16/08/2021

Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.

Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!

Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?

View attachment 1891714
Watu mnasahau sana lakini tatizo ni kufuatilia umbeya zaidi kuliko mambo ya msingi.

Leo tarehe 15 August ile kodi ya uzalendo kwenye vocha inaanza kukatwa ndiyo maana wanatangaza mabadiliko ya vifurushi ili tozo hiyo iweze kukatwa.

Watanzania tuna huruma sana na serikali yetu.
 
Du! hii Kali sasa,,yaani mi nilipiga wiki iliyopita TTCL huduma kwa wateja yaani alivyopokea yule mama sijui Dada anaongea utadhani kajifunika blanket,anaongea kwa uchovu, nikahisi labda yupo jikoni maana nasikia kama mtu anaosha vyombo,ishu yenyewe ilikuwa ndogo tu nilikwangua vocha vibaya ikawa haionekani,nikaambiwa subiri saa 24,utajulishwa mpaka leo hakuna lolote ni wiki sasa,vocha yenyewe niliamua kutupa tu
TZ na africa kiujumla customer care kila sehemu ni disaster
 
Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.

Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!

Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?

View attachment 1891714
Watu mnasahau sana lakini tatizo ni kufuatilia umbeya zaidi kuliko mambo ya msingi.

Leo tarehe 15 August ile kodi ya uzalendo kwenye vocha inaanza kukatwa ndiyo maana wanatangaza mabadiliko ya vifurushi ili tozo hiyo iweze kukatwa.

Watanzania tuna huruma sana na serikali yetu.
 
IMG_9860.png
 
Ndugu mteja, tumesitisha mabadiliko ya vifurushi yaliyotarajiwa kufanyika tar.16/08/2021 mpaka utakapojulishwa tena. Asante!
 
Hallotel ndio habari ya mjini
Hello, Please be informed that we will review our bundles on 16/08/2021. Continue to enjoy quality services from Vodacom. Terms and Conditions apply.

Nipo Halotel hii imebaki tu pambo kwenye kimeo changu
 
Back
Top Bottom