Vodacom kubadili vifurushi kuanzia jumatatu 16/08/2021

Wapandishe tu ili tuweze kuongea lugha moja. Huku tozo za miamala, huku tozo za vifushi na kule tozo ya mafuta!
 
Ila hiki suala la washindani kukaa chini na kupanga bei kwa pamoja wanalifanya wenyewe au wanashirikisha mamlaka husika (TCRA)?, vinginevyo ni kinyume na kanuni za FCC
 
Hello, Please be informed that we will review our bundles on 16/08/2021. Continue to enjoy quality services from Vodacom. Terms and Conditions apply.

Nipo Halotel hii imebaki tu pambo kwenye kimeo changu
Mpka halotel Ina hio meseji ya Kwanza wamenitumia leo
Screenshot_20210815-071211.jpg
 
Kufikia kesho Tozo kwenye miamala ya simu zina maliza mwezi 15/07-- 15/08,

Tuna imani wameshaona muelekeo wa mapato ile Average Transactions ya 2,700,000 kwa siku kwenye mtandao wa Tigo imeshuka sana na mingine as well, Rais Samia ile kamati uliyo unda mpaka sasa itakua na Majibu ni namna gani hizo Tozo zipunguzwe / ikiwezekana ziondolewe.
Mkuu. Jiwe hakukosea alivyosema tutamkumbuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hii ndio ile wachumi wanaiita OLIGOPOLY market. Makampuni machache yanayofanya aina fulani ya biashara. Wanakaa mezani kwa pamoja na kukubaliana kuwa ya nini kushindana wakati wateja ni walewale?? Tuweke bei sawa kote, wateja hawatakuwa na ujanja watanunua tu, sisi tushindane kwenye coverage labda na speed, kuhusu bei wote tuwe sawa. DEAL

Wengine ni makampuni ya Simenti.
 
Back
Top Bottom