Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 363
Mwizi si lazimza aje akuchomoe fedha mfukoni,au akupige roba ya mbao njiani.Hii ni stairi nyingine ya makampuni CM kama voda kujiongezea kipato pale yanapo detact kuanza kufirisika.Jamani eh mnalalamika au mtalalamika kwa huu wizi wa kuaminika mpaka lini?HAMIA HUKUUUUUUUUUUU!!!