Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,468
Kampuni ya mawasiliano kwa njia ya simu za mikononi Vodacom, hawakutoa gawio kwa wana hisa wake, shida nini?
Ni kawaida kutoa gawio mwezi June au July, lakini mwaka huu hakuna kitu.
Kunanini Vodacom?
Ni kawaida kutoa gawio mwezi June au July, lakini mwaka huu hakuna kitu.
Kunanini Vodacom?