Vodacom: Baada ya ujio wa Tozo, mapato ya MPESA yameshuka kwa 13.9%

Kwenye report ya hesabu ya robo ya tatu ya Vodacom wamekiri kua mwanzoni mwa mwaka hali ilikua nzuri ila baada ya ujio wa tozo, wateja wa MPESA zaidi ya milioni 1.3 wameacha kabisa kutumia huduma za kutuma na kupokea simu ama MPESA hivyo kupelekea kushuka kwa matumizi na mapato kwa 13.9%.

Soma screen shot ya taarifa yao kamili.
View attachment 2008198
Imagine transaction zinazofika 6.5 trillion kwa mwezi huu mtandao mmoja tu halafu mwigulu anasema serikali imekusanya 50 billion tu kwa tozo za miamala?

Tuchukue wastani wa 1000 tu kwa kila muamala tuone jibu ni sh.ngapi?

1000*6,500,000,000,000=

Hizi tozo tunapigwa sana!
 
Kwenye report ya hesabu ya robo ya tatu ya Vodacom wamekiri kua mwanzoni mwa mwaka hali ilikua nzuri ila baada ya ujio wa tozo, wateja wa MPESA zaidi ya milioni 1.3 wameacha kabisa kutumia huduma za kutuma na kupokea simu ama MPESA hivyo kupelekea kushuka kwa matumizi na mapato kwa 13.9%.

Soma screen shot ya taarifa yao kamili.
View attachment 2008198
Shukrani zote zimwendee Mama kwa kuupiga mwingi!
 
Imagine transaction zinazofika 6.5 trillion kwa mwezi huu mtandao mmoja tu halafu mwigulu anasema serikali imekusanya 50 billion tu kwa tozo za miamala?

Tuchukue wastani wa 1000 tu kwa kila muamala tuone jibu ni sh.ngapi?

1000*6,500,000,000,000=

Hii miamala tunapigwa sana!
Inawezekana . Mfano mimi nikimtumia mtu milioni 1 na yeye akaenda kuitoa hiyo Milioni 1. Hizo tayari ni transaction mbili lakini pesa ni ile ile moja. Ingawa transaction ni za milioni mbili.
 
Inawezekana . Mfano mimi nikimtumia mtu milioni 1 na yeye akaenda kuitoa hiyo Milioni 1. Hizo tayari ni transaction mbili lakini pesa ni ile ile moja. Ingawa transaction ni za milioni mbili.
Sawa ila we ukituma unakatwa hela na yeye anakatwa hela unless umpe wakala amuwekelee direct!

Still hata ukigawa miamala halfway, say 3trillion ukizidisha kwa wastani wa buku tu ni hela ndefu sana sio billion 50 tu! Huko ni voda tu, kuna tigo na airtel!
 
Kwenye report ya hesabu ya robo ya tatu ya Vodacom wamekiri kua mwanzoni mwa mwaka hali ilikua nzuri ila baada ya ujio wa tozo, wateja wa MPESA zaidi ya milioni 1.3 wameacha kabisa kutumia huduma za kutuma na kupokea simu ama MPESA hivyo kupelekea kushuka kwa matumizi na mapato kwa 13.9%.

Soma screen shot ya taarifa yao kamili.
View attachment 2008198
Safi Sana eti wanajisifu wamekusanya mabiolioni ya tozo watu wameshajua kwa sasa hawafanyi miamala serikali ya kijinga Sana hii
 
Kuna kipindi voda wametangaza kupata faida? Maana kila nikiwafuatilia wao ni hasara tu.
 
Serikali ilitaka mitandao isajiliwe soko la hisa ili kuleta uwazi... sasa uwazi unawaumbua.

Nani alisema hakuna madhara ya tozo kwa wananchi?
 
Back
Top Bottom