Vodacom acheni wizi wa waziwazi

Basi jaribu kufanya research ya kutosha isiwe to insidenti ya siku moja ukaleta hitismisho. Unaweza kuwa ulichofanyia data za Tigo na Vodacom ni tofauti, kuna pia background applications, updates huwa zinakula Mbs balaa. Nachojua Tigo & Airtel ni VERY SLOW. Vodacom ndo Sisiemu aiseee. Sijajaribu Halotel na Zantel labda nitashawishika kwa maelezo kidogo ya Extrovert
Shukran Mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom