Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Wanabodi,
Kwa kawaida mimi huwa nanunua bando za voda weekly kwa 15,000 unapata GB 10.
Kwanza sometimes hiyo bando huwa inakata kabla hata wiki haifika na nikifanya assessment ya matumizi yangu, GB 10 huwa haijafika, lakini kwa sababu huwa nawasha tethering silalamikii kuibiwa.
Monday nimenunua bando yangu ya 10 GB, sijashare, sija download, nime upload few clips hazifiki hata 2 GB, japo kuna siku nilipitiwa usingizi simu ilikaa jf 24/7, leo naamka na sms ya bando imekata!
Ni katika ku recharge bando ya 15,000 leo inauzwa 20,000!. Nikacheki bando nyingine zote zimepandishwa kwa 25% increase! Mbona hatukuambiwa?
Hivi makampuni ya simu yanajipandishia tuu bei kiholela na regulator yupo, hii imekuaje?
Kumetokea changes gani kwenye shilingi ya Tanzania against US. $ kusababisha such increase ya 25%?!
TCRA tusaidieni jamani haya makampuni mengine ya simu, sio yanatunyonya, yanatunyonga!
NB. Kwa vile media ni nyingi kama walitangaza nyongeza hii mimi ndio sikuiona, mtanisamehe bure.
P.
Kwa kawaida mimi huwa nanunua bando za voda weekly kwa 15,000 unapata GB 10.
Kwanza sometimes hiyo bando huwa inakata kabla hata wiki haifika na nikifanya assessment ya matumizi yangu, GB 10 huwa haijafika, lakini kwa sababu huwa nawasha tethering silalamikii kuibiwa.
Monday nimenunua bando yangu ya 10 GB, sijashare, sija download, nime upload few clips hazifiki hata 2 GB, japo kuna siku nilipitiwa usingizi simu ilikaa jf 24/7, leo naamka na sms ya bando imekata!
Ni katika ku recharge bando ya 15,000 leo inauzwa 20,000!. Nikacheki bando nyingine zote zimepandishwa kwa 25% increase! Mbona hatukuambiwa?
Hivi makampuni ya simu yanajipandishia tuu bei kiholela na regulator yupo, hii imekuaje?
Kumetokea changes gani kwenye shilingi ya Tanzania against US. $ kusababisha such increase ya 25%?!
TCRA tusaidieni jamani haya makampuni mengine ya simu, sio yanatunyonya, yanatunyonga!
NB. Kwa vile media ni nyingi kama walitangaza nyongeza hii mimi ndio sikuiona, mtanisamehe bure.
P.