Ipo ila imefichwa. Imenichukua nusu saa kubaini chaguo la kuwapata.Hivi kwani hii Voda bado wana huduma ya mteja kuongea na mhudumu? Siwaelewi hata Mimi nimejaribu kuwatafuta bila mafanikio
Ulifanyaje mkuu maana ni tatizoIpo ila imefichwa. Imenichukua nusu saa kubaini chaguo la kuwapata.
Nilishawahi kuuliza kuhusu kuongea na mtoa huduma,nilichojibiwa ni kuwa siku hizi kila kitu mteja anajihudumia mwenyeweHii siku ya tatu nahangaika mtandaoni niweze kuongea tu na mtoa huduma kuhusu tatizo nililopata kwenye account yangu ya Mpesa
Sijafanikiwa mpaka mda huu zaidi ya kujibiwa na kutumiwa Default messages na Ku chat na Bots
You have fineshed your bando hahahahaHemu ishiwa bando la halotel kwanza usikie wewe..naamini uta badili unayo sema .hapo ni kabla atujaja kwa customer care wao